Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Noma sana!
 
Unamaana hata wanawake wa kijita hawana antenna?
Taarifa wanapataje bila King'amuzi?
Kumtoa mwanamke kisimbusi ni ukatili wa hali ya juu sana.
Mimi wa hivyo hata awe na tako sihangaiki nae.
Noma sana!
 
Sio kweli Mara Kuna makabila matatu tu.WAKURYA,WAJITA na WALUO.
wazanaki,waikizu,waikoma,wanata hizo Ni Koo ndogo za kikurya zilizomezwa na Ila majina yao ni mamoja.lakini kwa Kenya Kuna wakisii Hawa Ni wakurya waliomezwa.
Nadhani koo za wakurya ni wanyabhasi, waanchari na walenchoka kamasikosei. Ila hawa wazanaki et tal ni makabila yenye nusu asili ya kikurya (sub kuryanic tribes) but they are tribes.!
 
Hivi wadau ubini wa Maguchi ni kabila gani huko Mara
 
Umechemka, hakuna ulozi ukuryani
 
Wajita wa kiume ni wabishi sana halafu wana tabia za kuwateta watu wengine nafanya nao kazi kituo kimoja, tabia zao siyo nzuri lakin wamama wa Kijita ni wapole na wastaarabu sana.
Wanajua kugegedana haaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…