mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Kwa hiyo mkuu unataka kusema watu wa dini ile kule ni wezi!?nchi nyingi zenye waislam wengi uhalifu ni mchache sana,, Somalia huko wanakosema kuna vita unaweza kulala hata hata mlango wazi,, kifupi panya road wakutafuta kwa tochi kama si hakuna kabisa
Umewahi kwenda huko au unataka kubisha tu?Mlinda legasi kajiongeza.
Umesikia kabisa huko hakuna wezi na wanapenda amani na wanapenda vyao,na ndio Magufuli alivipambaniaLengo la uzi ni sentensi hii.
Kubisha nini?Umewahi kwenda huko au unataka kubisha tu?
Kulinganisha na bongo,ipi ni nchi masikini kuliko yenzie?Mziki wao ni mzuri sana ukichagizwa na namna wanavyocheza....
Mji wa Dakar una matajiri haswa. Barabara zao zimejaa magari ya kifahari latest. Majumba ni ya kifahari kwenye sehemu za kishua....
Wasenegal wanapenda kuendeleza vya kwao.
Wawekezaji wengi ni wazawa.
Jamii za wahindi, wachina si wengi kama Tanzania.
Wasenegal hawapendi kulipwa kidogo. Wao kazi ndogo hela nyingi....
Natania tu,Kubisha nini?
Wewe ni mswahili au hujui kusoma kwa ufahamu.
Walikuja wameulizia bei ya gest wameambiwa elfu 40000TSH na short time hakuna,wamekula konabado vijana wa Rick boy wazee wamasihara hawajaanza kuuliza maswali yao ya uzinzi kwenye huu uzi
ulizia fursa mzee, wanawake wapo tuKuna madem wakali huko au wako ka wa east afrika huku sura personal
Hiyo hapo inaonyesha inaanzia $3k-$70K. Ingawa kuna mwamba anatokea huko anasema the most expensive price kulipwa ni $80K. Ila mainly inakua kwa ajili ya ufahari na kujulikana let say kwenye mnada mtu anabid $80K. Kama hakuna anaefikia mtu ananunua kondoo kwa 187M.Dah yan kondoo auzawe kwa Dollar elfthemanini $80k, iyo haiwezekani. ata dubai hafikii bei iyo ata nusu
Hali ya hewa ni mchanganyiko...Hali ya hewa yao ikoje maana almost wapo jangwa la Sahara, kuna ukijani kiasi gani au ni vumbi na mchanga?
Vipi kiwango cha umasikini ukilinganisha na Tz,? Vitu kama nyumba, mpangilio na ubora wa makazi
Kama ni taifa la Kiislamu kwa nini Ijumaa ni siku ya kazi (wakati ndio ilitakiwa kuwa jumapili yao)?
Watu wao ni weusi kawaida kama bongo ?maana kwenye Tv naona karibu wote ni weusi tiii
Hakika.Safi sana.Hii inakuja baada ya kumsindikiza Sadio Pape Kanoute.Mashaallah!
Sina uhakika na nchi nyingine. Ila Senegal kwa asilimia kubwa usalama ni mkubwa.nchi nyingi zenye waislam wengi uhalifu ni mchache sana,, Somalia huko wanakosema kuna vita unaweza kulala hata mlango wazi,, kifupi panya road wakutafuta kwa tochi kama si hakuna kabisa