Umeongeza kitu cha muhimu sana mkuu. Raia wana exposure sana hawa waliosoma. Wao kusoma America, France na pengine ni kitu cha kawaida....Kuongeza kidogo,
Senegal ni nchi raia wana uvumilivu wa dini sana. Waislam na wakristo wanaishi kwa amani. Rais wao wa kwanza alikuwa Muislamu mzuri na mke wake mkatoliki mwaminifu.
Ni watu ambao wanasaidiana sana especially wakiwa nje ya nchi. Taasisi za kimataifa wamejaa wengi na wanapenda kusaidiana. Wakiwa nje ya Senegal wao cha kwanza ni Africa. Kwenye kazi Msenegal akiwa na fursa siyo rahisi kukutosa.
Kwao kila mweusi is a brother or a sister. Haijalishi umri.
Ni jamii ambayo dini ya mtu siyo kikwazo kabisa. Ni kawaida kugonga vyombo vyako jamaa akiwa anapiga kahawa yake au soda yake.
Mwisho, ni jamii ambayo raia wake wengi wana exposure na uelewa wa dunia kulinganisha na sisi.
Tanzania tuna changamoto kubwa sana linapokuja swala la kutafuta fursa nje ya mipaka yetu. Hata kutembea nje ya nchi waTanzania bado sana.
Siasa zao kama kwingineko zina mauzauza mengi lakini kuna heshima na Rais akishindwa uchaguzi anafunga virago tuu. Rejea, Abdoulaye Wade.
Senegal ina changamoto nyingi ila ina mengi ya kufunza wengine.
Asante mleta uzi kwa uzi powa.
Wanawake wao wanapenda hela sana. Wanaamini mwanamke ni wa kupewa tu kutoka kwa mwanaume.Ongeza wanawake wao ni matapeli wa kiwango cha SGR! Ukijichanganya na mwanamke wa kisenegalise umekwisha
Duh kumbe Senegal Kuna madili ya vibarua, Huko wanalipa sh ngap kwa degree, diploma,masters,cpa,nk nkUchumi wa mmoja mmoja ni wametuzidi. Wana matajiri wengi sana na raia wao wapo well off.....
Tunachowazidi ni kuwa uchumi wao mkubwa upo Dakar.
Ukienda mikoani ni hoe hae ila kwa miundombinu mizuri wametuzidi sana..
Tofauti na Tanzania kuna Mbeya, Arusha, Mwanza, Dodoma...
Huku wote wanawaza kuja Dakar....
Ukisoma hukosi hela huku....
Pia raia wao wengi hawapendi kazi ngumu. Vibarua wanatoka Gambia, Guinea n.k...
Nyerere anakubalika sana. Nilichoshangaa ukienda pale kwenye mnara wao wa africa renaissance monument kuna historia ya Wapigania uhuru wengi wa Afrika kama Kwame na wengine. Ila ya Nyerere sikubahatika kuiona. Nikifanikiwa kurudi nitatazama tena kiumakini....Na labda kuongeza kidogo, waSenegal especially wenye uelewa wanamkubali sana JK Nyerere na Tanzania kwa ujumla. In fact kwa mataifa mengi ya West Africa, Nyerere anafahamika na kukubalika sana kuliko kiongozi mwingine yoyote wa Africa.
Idadi ya mateja ni chache sana. Wa kubahatisha. Ila nasikia biashara hiyo ipo...Vipi kuhus biashara haramu za madaw ya kulevya wanatumia kwa kiasi gani
Na mbuga za wanyama zipo
Waislam wakwamtogole hao wamejaa chuki tu nenda Senegal, Dubai ndo utawapendaHawa ndio waislam ninaowajua.
Wanaogopa kikatwa viganja mkuuHao kama utamaduni na sio kama imani
Waliulizia kama kuna guest za short time, nadhan wanataka waende wakapige tako tatu warud bongo hawana mpango wa kulala dakar kuhofia tabia zao za wizibado vijana wa Rick boy wazee wamasihara hawajaanza kuuliza maswali yao ya uzinzi kwenye huu uzi
Kwa ujanja ujanja na utapeli , mnigeria anasubiri kwa msenegal. Na wasenegal ndio wamachinga wa Paris, wanauza vitu vya mikononi na ndio pick pockets pia wao na wamorocco.Umesahau pia hao jamaa ndio watu wa kwanza kufunguka huko West kabla ya wanigeria. Na ndio wa kwanza kuwa matapeli wa kimataifa wanaigeria wanasubir.
Labda utapeli huo wanafanyia nje ya mipaka yao.... Kwa hapa sijakutana na utapeli. Na wao wanawaogopa wanaijeria. Wakisikia unaongea kingereza wanakjua umetoka Nigeria ila ukijitambulisha MTZ wanafurahi.Umesahau pia hao jamaa ndio watu wa kwanza kufunguka huko West kabla ya wanigeria. Na ndio wa kwanza kuwa matapeli wa kimataifa wanaigeria wanasubir.
Mji spiritual ni TOUBA. Unapatikana msikiti mkubwa sana pale.Mkuu kaolack city huo mji si ndio spiritual city ya waislam wa senegal inakuwaje nguruwe wanazurura ovyo?
Kwa kuwa si lengo kuu la uzi huu.Hpn mkuu kwenye swala la jesi skip tu mnk Lina utata umejaza chumvi nyingi Sana
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siku ya mechi world cup wameweka big screen watu wanakusanyika....Kilichoniacha hoi, ni siku walipocheza mpira na Misri na kuchukua ubingwa February 2022 (ni kombe la AFCON kama sikosei), mji ulizizima usiku kucha kwa nderemo fataki na hoi hoi. Kitu ambacho sitasahau ni jinsi punda walivyovikwa bendera ya taifa lao. Viva Lions du Teranga!✌✌✌