Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,106
- 1,443
Kilichoniacha hoi, ni siku walipocheza mpira na Misri na kuchukua ubingwa February 2022 (ni kombe la AFCON kama sikosei), mji ulizizima usiku kucha kwa nderemo fataki na hoi hoi. Kitu ambacho sitasahau ni jinsi punda walivyovikwa bendera ya taifa lao. Viva Lions du Teranga!✌✌✌