Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mkuu....Umesema wanavaa irizi kama bangili si ajabu ndiyo maana no.11 wanaijua Thimba kuliko Yanga.
Ni sahii sana.15. Wamekuwa na demokrasia inayokua sana japo Rais wao aliyepita na wa sasa wamejaribu kucheza na katiba kugombea muhula wa tatu kinyume cha katiba.
Hapana.kwa hiyo unaweza ukawa unswali af sheik kala shanga kiunoni af fresh tuuu
Hapana. Si watu wa kufuatilia siasa za Tanzania. Ila kwa namna moja au nyingine baadhi wanamjua.Lengo la uzi ni sentensi hii.
Mdudu yupo kuna sehemu wanauza na wateja wapo. Ila si kila sehemu wanauza kama ilivyo pombe hawauzi kila sehemu.Vp mdudu a.k.a mbuzi katoliki anapatikana uko?
Wapo.Kuna pisi kali?
Hii ni sanamu ndefu zaidi barani Afrika ipp Senegal..Japo picha tu kiongozi
Mtanzania anawaza ngono zaidi kuliko kitu chochote, tafiti zinaonyeshaGesti zao wanakubali show taim
Na kwa pesa ya kibongo inagharim kias gan kwa siku moja
Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu.Hii ndo jf, big up Mhandisi Mzalendo umeutendea haki uzi nimejifunza mengi.
Ni kweli...Mtanzania anawaza ngono zaidi kuliko kitu chochote, tafiti zinaonyesha
Uchumi wa mmoja mmoja ni wametuzidi. Wana matajiri wengi sana na raia wao wapo well off.....Kulinganisha na bongo,ipi ni nchi masikini kuko yenzie?
Najua GDP tumewazidi,nataka kujua uchumi wa raia mmoja mmoja.
Bodaboda wapo ila si ajira rasmi kama Tanzania. Vituo vya bodaboda si vingi.Kuna bodaboda huko?
Wakali wapoKuna madem wakali huko au wako ka wa east afrika huku sura personal
Hahaha...Kitunguu kwenye kila chakula nimewaza uji wa kitunguu
Nadhani walipenda ile style ya kucheza wakiwa kwenye maji.....Kwanini chura ya snura ni maarufu huko?
😂 😂 😂 😂 😂 Ninachojiuliza ilifikaje au ndio ile nyimbo yao ya ambulichichiNadhani walipenda ile style ya kucheza wakiwa kwenye maji.....
Nadhani sina uhakika....
Hata mimi nilishangaa sana. 😀😀😀 ukute Snura hana hata habari...😂 😂 😂 😂 😂 Ninachojiuliza ilifikaje au ndio ile nyimbo yao ya ambulichichi