Usiyoyajua kuhusu Senegal

Usiyoyajua kuhusu Senegal

Nyuma ya Mugabe kulikuwa na nani? Ifike sehemu tukubali ujinga wetu ili tujirekebishe.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ishu ya mugabe ilikuwa tofauti na hii...izo nchi za francophone ni kama bado zinatawaliwa na ufaransa. Kwa io chochote wanachofanya lazima wapewe go ahead na master wao
 
Moja ya nchi nazozihusudu na alhamdulillahi niliweza kufika. Japo ilikua short stay. Yote usemayo ni ya kweli. Na binafsi nahusudu sana muziki wao. Na kupitia wao nikapenda sana muziki wa Youssou Ndour na Baaba Maal magwiji wa muziki kutoka hapo, nikapenda wasanii kama Sona Jobarteh wa Gambia, Ali Farka Toure, Toumani Diabate, Ismael Lo(msenegal) and list goes on, kiujumla napenda sana muziki wao na wasanii kutoka Mali, Gambia na Senegal yenyewe..watu kama Salif Keita wa Mali. Baaba Maal huyu anaheshimika sana Senegal kama ilivyo Ndour na aliimba kwenye opening score(film score) za kwenye Black Panther zote 2 na ile movie ya black hawk..

Pia ni watu wapambanaji..list ya matajiri wao 10 wote ni wazawa.

Aah raha sana Senegal.
Viva la Senegal!
Mkuu mtandao wao wa kijamii Kama hivi jamii forum kule unaitwaje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watakuona unapika vitu vya ajabu wanaweza kukufukuza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali, dada angu alikamatwa na unga kilo mbili airport, na enzi zile Tanzania inasifika kwa unga chaap wakamdaka nini hiki anasema unga wa ugali [emoji23][emoji23][emoji23] mbona walimpikisha ugali airport Tena chini ya ulinzi mkali
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali, dada angu alikamatwa na unga kilo mbili airport, na enzi zile Tanzania inasifika kwa unga chaap wakamdaka nini hiki anasema unga wa ugali [emoji23][emoji23][emoji23] mbona walimpikisha ugali airport Tena chini ya ulinzi mkali
Nae alipika😂😂😂😂😂😂😂😂... Kha sasa vipi alikula au...?
ahahah sipati picha wanidake mimi... Hapo hapo nawambia wanifanyie na mpango wa dagaa wabichi wa kukaanga na pilipili (chachandu)
Naivisha dongo nakula saaafi kabisa
 
Back
Top Bottom