Usiyoyajua kuhusu Warumi

Usiyoyajua kuhusu Warumi

Status
Not open for further replies.
Ahhahahah daah binamu nimekumbuka enzi zile umeenda kulala kwenye msiba wa marehemu Adam Kuambiana, enzi za Lucy Komba na gauni lake la harusi utafikiri anapokea komunio. Kubwa kuliko enzi zako na Dina kuchambana na Matola; unachamba hadi unachanganyikiwa unajiquote mwenyewe unajichamba tena daah. Kuna siku ulipewa ban, tukaandamana kwa mods na #BRINGBACKWARUMI#, tulikukoma ulivyorudishwa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]. Heshima yako binamu

I miss them those days dah, ilikua balaa, umbea ulikua moto moto si mchezo [emoji23][emoji23], hivi matola alifia wapi Jaman , Jamaa anachamba yule khaa
 
naona kama umeiua brand yako ya kuleta umbea..Daah bora ungebaki na siri yako.
 
naona kama umeiua brand yako ya kuleta umbea..Daah bora ungebaki na siri yako.

Hata mimi nahis hivyo , Lakini still nani ana uhakika kweli kama mimi ni ME? What if nadanganya[emoji16][emoji16]
 
Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Qmmke tena ME mbona unatuchanganya sasa,ule umbea wa kiwango cha STGR men wapi na wapi
 
Hata mimi nahis hivyo , Lakini still nani ana uhakika kweli kama mimi ni ME? What if nadanganya[emoji16][emoji16]
watu siku zote huamini neno la kwanza..tayari umesema wewe ni ME...Hata kesho ukibadilika ukasema we ni KE itakuwa haina nguvu
 
Hahahhaa asije akatokea hapa mkaanza tena ligi zenu. Haki mlijua kutupa raha
I miss them those days dah, ilikua balaa, umbea ulikua moto moto si mchezo [emoji23][emoji23], hivi matola alifia wapi Jaman , Jamaa anachamba yule khaa
 
Hahahhaa asije akatokea hapa mkaanza tena ligi zenu. Haki mlijua kutupa raha

Matola alikua anatuenyesha, warumi na mdomo wangu wote pale nilifyata, Jamaa sijui lina downlidig wap matusi[emoji23][emoji23][emoji23], Lina maneno ya kukera aiseh sijawah kuona hapa JF[emoji23][emoji23], ila na sisi tulimvaa kidogo
 
Matola alikua anatuenyesha, warumi na mdomo wangu wote pale nilifyata, Jamaa sijui lina downlidig wap matusi[emoji23][emoji23][emoji23], Lina maneno ya kukera aiseh sijawah kuona hapa JF[emoji23][emoji23], ila na sisi tulimvaa kidogo
Hahahha ilibidi muungane sasa na Dina lakini wapi na yeye anakomaa tu mweeh
 
Jinsia yake, ruanzie hapo.
Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
 
Ni Usanii tu, sometimes inabid tu u flow na vile watu wanavyofikiri, huwa I don’t mind at all

Aiseee acting zako basi kiboko maana hauyumbi ni mule mule hadi kwenye mwandiko....miandiko ya kikulungwa inajulikana ila mwandiko wako sio wa kibro.
 
😅😅😅

Naomba nikusalimie Baba Mchungaji mana kwa namna nimecheka bila kukusalimia isingekuwa powa. 😅
Nimeitika mama mchungaji, hofu na mashaka ni juu yako wewe ulie mbali na macho yangu...😘
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom