CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu.
Almanusura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malumo giant ndo timu ya wapi iyo ebu tufafanulie?View attachment 2689737
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu.
Almanisura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu.,View attachment 2689737
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu.
Almanusura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
Thank you for this great post.Usisahau pia CR belouzidad nae nusura ashuke daraja ,lakini alifika robo fainali CAFCL
Raja aliekuua nje ndani nae hatashiriki hata shirikisho mwakani
Morocco bingwa ni FAR Rabat ,Ivory coast ulikosajili winga bingwa ni Asec Mimosas
Ajabu Sasa FAR na Ivory coast wote walirolewa na USM alger
Kwa hiyo hakuna justification,tafuteni kichaka kingine
Hivi ni sifa kila mtu aoneshe ujinga wake? Kwani kuuficha ina gharama gani?
Kuna mambo ukisha address kwa public utaishia kuaibika tu. Lengo ni kuisema Yanga imecheza na kibonde wakati hata timu yako ilishashiriki hayo mashindano mara kadhaa na haikufanikiwa kama Yanga. Sasa ujinga ni kuita mashindano ya loose while hayohayo mashindano yamekutoa kamasi na kufanya kulitia taifa aibu ya milele kwa ulozi na kila kitu.
Shukuru mlibahatika kupita kwenye uchochoro!! Usilinganishe inter milan na hizo marumo type za kushuka daraj!Mpira upimwi kwa namna hiyo wigani ilicheza na man city fainal ya fa ikiwa imeshuka daraja, inter Milan wameingia fainal ya UEFA msimu uliopita wakiwa hawafanyi vizuri kwenye ligi yao ya Italia.Mechi za ligi zina mechi nyingi ni kama marathon inahitaji uwe na consistency performance nzuri kwa muda mrefu ukilinganisha na michezo ya mtoano so ni rahisi kwa team kuja na approach inayoendana na michezo husika
Aliyeyaita ya loser ni haji manara semaji la yangaHivi ni sifa kila mtu aoneshe ujinga wake? Kwani kuuficha ina gharama gani?
Kuna mambo ukisha address kwa public utaishia kuaibika tu. Lengo ni kuisema Yanga imecheza na kibonde wakati hata timu yako ilishashiriki hayo mashindano mara kadhaa na haikufanikiwa kama Yanga. Sasa ujinga ni kuita mashindano ya loose while hayohayo mashindano yamekutoa kamasi na kufanya kulitia taifa aibu ya milele kwa ulozi na kila kitu.
ZoteKusema kweli shirikisho mwaka huu team nyingi zilikua haziko kwenye kiwango bora.
Raja aliyekuchapa na kukuoa kabisa,kumbuka hatacheza CAFCL...View attachment 2689737
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu.
Almanusura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
Mimi sio mshabiki wa Yanga nimetoa maoni yangu kama mshabiki wa mpiraShukuru mlibahatika kupita kwenye uchochoro!! Usilinganishe inter milan na hizo marumo type za kushuka daraj!