Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Niwakumbushe tu Wana utopolo katika michuano hii ya luza USM hawajapoteza mchezo wowote nyumbani kwao,
Na kingine timu yoyote iliyotembelea pale kwao imekula kuanzia goli 2 na ni timu moja tu iliyopata goli, yaani USM wameruhusu goli moja tu toka mwanzo mwa michuano hii
Mjipange vizuri mnaenda Gwantanamo Bay, Endeleeni kuwekeza kwenye midomo
Na kingine timu yoyote iliyotembelea pale kwao imekula kuanzia goli 2 na ni timu moja tu iliyopata goli, yaani USM wameruhusu goli moja tu toka mwanzo mwa michuano hii
Mjipange vizuri mnaenda Gwantanamo Bay, Endeleeni kuwekeza kwenye midomo