Uso kwa Uso(Nikiwa Sober) na Mwanajamiiforums mwenzangu ambaye huwa ni Mpinzani wangu sana humu ndani

Deo kisandu nini ...???au kuna mwingine..
 
Hata mimi jumanne nilikutana na dada anaandika msg nikaisoma na alipoipost nikaona na mada aliyokuwa anaichangia,nikaangalia muda aliopost na mimi nikaitafuta nikagundua ni yeye kwakuwa nilisoma alichoandika.
Wewe dada ulyekuwa Mzumbe University upanga,rangi ya chocolate,skirt fupi nyeusi inavifungo juupaka chini kwa nyuma,tup ya brown na vidot vyekundu.
Nilikupiga na picha wakati unachangia kwa sijui "DJ.NYUNDO"sijui Dj nani?.
Jitokeze au naweka picha.
 
Duh gongo ya mchanganyiko gani? Petrol, hydraulic hizi za magari au?
 
Ha ha mimi siwezi kukumbatiana na akina cocochanel
 
Ata pilau ikapikwa VIP ila ukisahau chumvi tu habar inakua nyingn,

Bhc ndo baadhi ya watu jf ,bro uko vzr San kweny sekta ii
 

Hahahah.. duh hili biti sio la kawaida
 
Ungepiga tu chabo dada yangu
 
me mzima. nipo napambana na hali yangu.
nilikuwa kwenye forex kama hujajiunga karibu sana sitaki nikuache nyuma pacha
 
me mzima. nipo napambana na hali yangu.
nilikuwa kwenye forex kama hujajiunga karibu sana sitaki nikuache nyuma pacha
Sawa pacha itabidi nikutafute.

Uwe na jumapili njema pacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…