Pia unaweza ukawa una GPA ya 4 alafu ukazidiwa na utendaji kazi na MTU mwenye ya 2Ofisi yetu ina mtu ana GPA ya 4.5 na Kuna mwenye 2.9 na Kuna sisi tuna za 3.2...
Ila wotee mshahara mmoja, posho ile ile.
Sasa huyu alisomaa weee akasahau na starehe nyengine ila salary slip zinafanana..!!!
#YNWA
Hakika kama wewe ni mwalimu basi utakuwa mwalimu Bora sanaHakikisha unaelewa kila kinachofundishwa, usipoelewa omba msaada kwa mtu, then jisomee sana peke yako kuliko kufanya discussion. Yani discussion asilimia 25 kujisomea peke yako 75. Then unapojisomea peke yako kuna vitu unaweza usielewe vizuri. Hivyo vitu tafuta mtu na wakati wa discussion ulizia wenzako. Jitahidi pindi unapokuwa na discussion usiwe mpenzi msikilizaji Bali changia mada kadri uwezavyo hii tabia itakujenga zaidi katika kukumbuka vitu unavyovisoma. Ni hayo tu
Safi saana wakumbushe tu kwamba kwenye discussion unatakiwa nawe uchangie ili uwe kama unamfundisha mtu.na ukimfundisha mtu kitu kinakaa haswa.Hakikisha unaelewa kila kinachofundishwa, usipoelewa omba msaada kwa mtu, then jisomee sana peke yako kuliko kufanya discussion. Yani discussion asilimia 25 kujisomea peke yako 75. Then unapojisomea peke yako kuna vitu unaweza usielewe vizuri. Hivyo vitu tafuta mtu na wakati wa discussion ulizia wenzako. Jitahidi pindi unapokuwa na discussion usiwe mpenzi msikilizaji Bali changia mada kadri uwezavyo hii tabia itakujenga zaidi katika kukumbuka vitu unavyovisoma. Ni hayo tu