Pia unaweza ukawa una GPA ya 4 alafu ukazidiwa na utendaji kazi na MTU mwenye ya 2Ofisi yetu ina mtu ana GPA ya 4.5 na Kuna mwenye 2.9 na Kuna sisi tuna za 3.2...
Ila wotee mshahara mmoja, posho ile ile.
Sasa huyu alisomaa weee akasahau na starehe nyengine ila salary slip zinafanana..!!!
#YNWA
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app