Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Usomaji wa Maandiko ya kidini (Biblia)

Majibu yote yapo humo 👆👆👆 moja wapo ni kiunganishi.

Pia

Kuto kuthibitika kwa haya mambo katika ilimwengu wa kimwili haimaanishi kwamba mambo hayo hayapo..! La! Mambo hayo yapo sema wewe binafsi hujataka kuyafahamu... na uwezo huo umepewa, kila mtu anao ila hatuutumii(hatuamini)

Narudia tena uwezo huo upo na kila mtu anao pasipokujali dini yake, anaendaga ibadani au hua haendi, shida inakuja ni mhusika hajataka kuutumia kwa kufuata kanuni.

Sasa kazi ni kwako kama unataka na wewe kufahamu,,, kwasababu nitakutofautishiaje rangi ya blue na nyekundu ilihali wewe ni kipofu tokea unazaliwa hujawahi ona chochote. Hutanielewa kamwe!. Na kwa kutumia kanuni/ufahamu wa elimu (sayansi) ndio utaona nimechanganyikiwa kabisa.

Sasa nakushauri usifikie hitimisho kwa jambo lolote ambalo Huna uzoefu nalo.
Elimu haina mwisho kila siku tunajifunza vitu vipya unaweza ukajifuza kitu kipya hata ukiwa na miaka 99.

Haya mambo ya imani ya hukulie kama changamoto mpya kwako mwaka huu... uipatie ufumbuzi, kwa lengo la kijifunza zaidi. kama una nia njia huwezi kukosa.
Logical non sequitur.

Hujathibitisha ulimwengu usio onekana upo ila unadai tu upo.
 
Logical non sequitur.

Hujathibitisha ulimwengu usio onekana upo ila unadai tu upo.
Kwahiyo ujumbe(ushauri) wangu kwako umeuelewa.?

Kama umeamua kuto kufanya udadisi basi wewe ndio unashida...

Kumbuka wahenga wa kizungu wanasema"No research no right to say"
 
Kwahiyo ujumbe(ushauri) wangu kwako umeuelewa.?

Kama umeamua kuto kufanya udadisi basi wewe ndio unashida...

Kumbuka wahenga wa kizungu wanasema"No research no right to say"
Sasa wewe leta hiyo research ya uhakika inayo thibitisha pasi shaka kwamba ulimwengu usio onekana upo.
 
Sasa wewe leta hiyo research ya uhakika inayo thibitisha pasi shaka kwamba ulimwengu usio onekana upo.
Mimi nadhani context ya content ninayoiandika hauizingatii kwasababu jambo nililoliezea tayari wewe unauliza tena vile vile,

Hii mbinu unayotumiaga ndio hio hio hua anatumia kiranga kwamba swali ambalo ulitakiwa wewe ujibu unalirudisha kwa aliekuuliza. Ni mbinu ya ku-win argument/ ama debates.

Sasa hapa hatushindani tunapeana taarifa na maarifa.

Hapa swala sio mimi kukuletea wewe uthibitisho swala ni kwamba wewe kuzichunguza Habari hizi undani wake na huko ndiko utapata majibu.

Ukirudia kusoma sehemu zote nilizoku-quote kwa umakini utajua nini cha kufanya.
 
Mimi nadhani context ya content ninayoiandika hauizingatii kwasababu jambo nililoliezea tayari wewe unauliza tena vile vile,

Hii mbinu unayotumiaga ndio hio hio hua anatumia kiranga kwamba swali ambalo ulitakiwa wewe ujibu unalirudisha kwa aliekuuliza. Ni mbinu ya ku-win argument/ ama debates.

Sasa hapa hatushindani tunapeana taarifa na maarifa.

Hapa swala sio mimi kukuletea wewe uthibitisho swala ni kwamba wewe kuzichunguza Habari hizi undani wake na huko ndiko utapata majibu.

Ukirudia kusoma sehemu zote nilizoku-quote kwa umakini utajua nini cha kufanya.
Habari hizo zimechunguzwa na kuonekana hazina ukweli wowote ule wala uthibitisho bali ni hadithi za watu tu.

Hazina uhalisia wowote ule.
 
Siri yake ni rahisi sana,nafsi yako imeunganishwa kwenye hiyo madhabahu unayotoa sadaka hata ukapata amani.

Madhabahu(altar) yako iko hapo ndio maana hushauriwi kutoa toa sadaka mahali ambapo unakosa amani.Kwenye Biblia kuna sehemu Mungu alikuwa anasema nitolee sadaka mahali fulani au nenda mlima fulani ukanitolee sadaka; maana yake hapo kuna muuganiko ambao Mungu ameuweka kwa huyo mtu ili aweze kupokea baraka zake baada ya sadaka yake kupokelewa na Mungu.

Sasa ili uweze kusoma na kuielewa Biblia anza kusoma maandiko yanayoongelea utoaji wa sadaka, utapata kitu kipya na kikubwa kwasababu kiroho chako kipo katika utoaji wa sadaka.

Jisikilizie wewe mwenyewe pasipo kufuata mkumbo wa watu wengine,mahali utakapoona umepata amani basi ndio hapo hapo pakutoa sadaka,kama ni kuabudu, basi jikite hapo hapo mkuu.

Ahsante.
 
Biblia iliandikwa kutusaidia wanadamu kupata mwongozo juu ya maisha matakatifu ya kumpendeza Mungu . Maisha ya m wanadamu yanapita changamoto nyingi kiimani,kielimu,kiuchumi,ndoa, na kutunza wazazi na watoto nk.Mkristo anapaswa kusoma neno la Mungu mara kwa mara ili aongeze maarifa zaidi na kujua Historia ya dunia tulikotoka . Vijana mnaosoma degree za sheria nunueni biblia ya kiingereza na kiswahili itawasaidia sana kutafasiri maneno mengi ya kitaaluma Uwe mwiislamu ama mkristo tumieni vitabu hivi.
 
Ili ujue ni kwamba Muumba hana DINI wala Dhehebu, ni mmoja tu na hagawanyiki.sio wa kabila, lugha wala jamaa maana wote tumetoka kwake.

Warumi 11:36
Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina.

Ila dunia ilitengeneza mfumo kila kabila lilikuwa na Mungu wake, kila taifa lilikuwa na Mungu wake na kila jamaa ilikuwa na Mungu wake ndio mfumo uliokuwepo.

Ni ufinyu wa uelewa na ufahamu ndo mana unasema ivyo ungejua usiyoyaona ungeelewa.
Yesu siyo mlokole wala msabato wala mkatoliki chanzo cha madhehebu ni shetani ....ufalme ulio farakana hauwezi kusimama
 
Inawezekana hapa si mahala pake lakini ningependa kusaidiwa na wahusika ambao najua wapo hapa.
Ni vile nimelitafuta jukwaa la dini katika forums zilizopo na sijaliona.

HIvi, mantiki ya kusoma Biblia iko wapi? Kwakifupi tu ni kwamba sisi wengine (kama walivyo wengi) tumezaliwa katika dini. Kanisani nakwemda toka sijitambui mpaka najielewa hivi.
Nikiwa mtoto mdogo kabisa nimeshashika tayar amri zoote kulingana na utaratibu wa kanisa ambalo nimekua nikisali (ambalo nimekuta wazaz wanasali nami nikafuata humo, though baada ya kuoa nikaamua kubadili mwelekeo na ninasali kanisa lenye mlengo mwingine, japo ni ukristo tu kama ambavyo nilizaliwa).

Sasa miaka yoote hii, tika sijui kusoma, nimekua nikisia mahubiri, maandiko ya biblia, mpaka nafikia kujua kusoma ,ujana na sasa utu uzima, nimekua nikisikia na kusoma habar za Mungu na Yesu na mitume wake na historia yao nzima katika maandika na hii imenifanya kuwa kama naijua biblia.

Sio yote in such na sijawahi kuisoma yoote kimfululizo nikaimaliza but ile kugusa hapa na pale na kusikiliza na kusikiliza, tena na tena all my life mpaka sasa third floor ya umri. Na hii imenifanya kwamba, 90% ya chochote utakacho au yeyote yule atakayezungumza kuhusu maandika ya Biblia, NAVIJUA.

Hali hii kiukwel, inanitaabisha sana.
Maana hata leo asubuh nilipochukua biblia nisome (maana niko kwenye maombi yangu tu binafsi) honestly,nimejikuta kuboreka kias flan na ndio likanijua swali hili nikajiuliza, NASOMA MAANDIKO HAYA ILI IWEJE?? ILI NIPATE NINI??MBONA SIONI KIPYA, I KNOW THESE STUFFS, AU KUNA NAMNA LABDA NAPASWA KUISOMA KIUTOFAUTI BUT HOW?
ndio namuomba Mungu kabla ya kusoma but MBONA NILICHOKIONA JANA NA JUZI NDIO HIKI HIKI AMBACHO TAYARI NAKIJUA???...

kuna ulazima gani wa kuendelea kusoma mambo ambayo tayar nimekua nikiyasikia na kusoma miaka mingi mpaka leo??...

Kuna kitu watu huwa nasikia wakisema na pia naamini inawezekana, kknaitwa REVELATION /UFUNUO(MAFUNUO). how do i come to this point.

Yan kwamfano leo nimeanza kusoma Mathew Chapter 2, ile kuanza tu habari kuzaliwa kwa Kristo, akilini tayari ufahamu wangu ukajawa na ile flow nzima ya matukio mpaka mpaka kufa kwake, sasa najiuliza, NIENDELEE KUSOMA ILI IWAJE??????..

Wakuu wenye dini na imani, naomba mawazo na kusaidiwa katika hili.

Natangukiza shukrani.
Rabbon Tayana-wog Carleen matunduizi na wengine wote
Hayo unayoyafikiri na kuyawaza wewe, wengi sana wameyaona na wameamuwa kuisoma Qur'an, hawajajuta na hawaiwachi.

Makundi kwa makundi, duniani kote wanarudi kwenye Uislam.

Qur'an na Uislam kwa ujumla, ni mwongozo wa maisha yako ya kila siku duniani.
 
Habari hizo zimechunguzwa na kuonekana hazina ukweli wowote ule wala uthibitisho bali ni hadithi za watu tu.

Hazina uhalisia wowote ule.
Usilete Habari kua zimechunguzwa ingia field wewe mwenyewe binafsi (by direct observation).

Kuna kanuni zake pia, kitendo cha watu kufanyia utafiti maswala ya imani washavunja kanuni mojawapo...

Kwanini, kwasababu wanamashaka/hawana uhakika, kwa lugha nyingine hawana imani ndio maana wanachunguza. Pia dhamira yao haina mashiko yaani wanamjaribu Bwana Mungu wao huku wakiwa wanajua fika kanuni hii.

Mkuu binadamu wote tumepewa uwezo mkubwa sana ambao ndio msaada wa kila kitu kwa mwanadamu lakini chakushangaza binadamu tulio wengi hatuutumii hadi tunazikwa nao.

Kwahiyo uwezo huu umebakia kua dormant maishani mwetu kwasababu tumekosa imani. IMANI

Ichukulie hii kama changamoto anza kufatilia masuala ya imani.
 
Yesu siyo mlokole wala msabato wala mkatoliki chanzo cha madhehebu ni shetani ....ufalme ulio farakana hauwezi kusimama
Hata yesu mwenye sio Muumba kwani naye alitumwa.Dunia ndo ilifosi aabudiwe

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli (Muumba), na Yesu Kristo uliyemtuma.

1korintho 15:28
Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe(Yesu) naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.
 
Hayo unayoyafikiri na kuyawaza wewe, wengi sana wameyaona na wameamuwa kuisoma Qur'an, hawajajuta na hawaiwachi.

Makundi kwa makundi, duniani kote wanarudi kwenye Uislam.

Qur'an na Uislam kwa ujumla, ni mwongozo wa maisha yako ya kila siku duniani.
Acha uongo wewe, usidhani hatuoni kasoro, zipo kibao sanaaa huko huko, hakuna cha dini ya haki hapa duniani.
 
Hayo unayoyafikiri na kuyawaza wewe, wengi sana wameyaona na wameamuwa kuisoma Qur'an, hawajajuta na hawaiwachi.

Makundi kwa makundi, duniani kote wanarudi kwenye Uislam.

Qur'an na Uislam kwa ujumla, ni mwongozo wa maisha yako ya kila siku duniani.
Mudi siyo mtume wa mungu ..mimi siyo mkristo wala muislamu hivyo nakuambia kitu cha kweli ...kuna mashehe wawili walibisha nikawathibitishia wakabaki kimya... kwanza mudi hajui hata mtume ni nini ? Ni kama wakristo wa leo hawajui hata mtume ni nini ? Sasa kituko ni kwa bwana Mudi iweje yeye hawe mtume mkuu kuliko wote ila asijue mtume au nabii maana yake nini?
 
Back
Top Bottom