Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.
Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!
From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwanga
...@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: [wanabidii] Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
@Lessian Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!
Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.
I never fear the consequences of my
actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa
when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a
President!
I lost interest even in listening at him. I am fond of
revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader
of our times in this country!
He wouldnt even appeal to common people and
convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda
ikulu.
Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona
wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri
na 'wakipewa' nafasi!
Huyu hapa ndiyo:
Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata
kutoka
The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.
EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.
SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary
PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary
THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!
HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani
ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni
chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya
Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards
kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?
Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo
ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule
anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu
yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).
Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya
kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.
Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka
vyuo vinavyoeleweka.
Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni
kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!
1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma
gani ya kusoma Mwaka Mmoja?
1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development
Advanced Diploma gani hii nayo tena?
1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.
>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level
>>>>terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr.,
D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws
(i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque
Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional
study and the development and defense of an original dissertation that
contributes to the development of canon law after having earned the degree
Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical
faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the
study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theol huna jipya upuuzi uozo, nenda kaoge.