kuna mdau ameniuliza slaa ana shahada ya kwanza ya chuo kikuu? nikakosa jibu
akaniuliza tena: slaa ana masters? nikakosa jibu
akaniuliza: mtu anaweza kupata phd (isiyo honorary) bila ya kuwa na masters degree? nikakaa kimya
akaniuliza: cheo cha udokta amekipata wapi slaa hadi aitwe dr slaa? nikaguna
akaniuliza: unajua kuwa slaa phd yake ni ya kidini (canon law) nikamuambia kuwa mi nilidhani ni ya masomo mengine. kumbe ni ya kidini!?
akanirushia hizi data na mimi nimeona bora mnisaidie kujibu hayo maswali hapo juu!
Dr. Wilbrod P. Slaa (CV)
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973
Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969
Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960
JAMAA HANA MASTERs DEGREE katika CV yake aliwezaje kupewa HONORARY PhD..?
CHADEMA=CHAMA CHA DEGREE ZA MAGUMASHI.
Jamani kuondoa utata huu tusaidieni kutuwekea chuo alichosomea MASTERS na PhD.
Hata hapa kwetu ipo angalia hawa Maprofessors hawana masters but wana PhDs na ni ProfessorsInaelekea wewe ni mbumbumbu ni sawa na jamaa zako wanaosema mitaala ipo wakati hakuna. Kuna nhi nyingi tu duniani wana namna ya kutoa elimu yao kufuatana na mahitaji ya nchi na hasa mitaala. Iliyokuwa USSR wao ukiigia university ni moja kwa moja unapata master degree vilevile ujerumani, italy nk hivyo sishangai kupata PhD BILA KUSOMA MASTER
nadhani huyo jamaa hajui hata mpaka mtu aitwe padre wanatumia vigezo gani.mwanzo mwisho ni seminary na universty za ukweli...hawa sio hao wa kwenu wa uamshoo..ukimua binadamu mwenzio utaona pepo no..jipange wakati unatuma haya makitu....................kaulizane haya maswali na babako, huenda ana majibu!
Nani sasa anamiliki hii password ya Masalia?Phd yake hii hapa: