Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,904
pamoja na kuwa kingwangala hana moral authority ya kuhoji elimu dr slaa ngoja tumjibu kw faida ya wengi.
mosi, suala siyo phd ya kupewa au kusomea - suala ni mchango wa mhusika kwa taifa. Marehemu chachage aliwahi sema uprofesa au phd bila mchango wa maana kwa taifa ni sawa na sifuri. Slaa haheshimiki siyo kwa sababu ya phd yake bali mchango wake.
pili, dunian kote, japo kuwa mimi si mkatoliki lakini elimu ya wakatoliki na elimu zinazotolewa n a vyuo vingine vya kawaida ni sawa. Mfumo wao unaaminika kuwa wana elimu bora iwe seminary au chuo kikuu. Hilo nalo lielweke vizuri.
tatu, hoja ya kingwagala imeelemea sana kwenye muda. Muda si hoja. Wapo watu wengi mimi ninawafahamu wamemaliza phd ndani ya miaka miwili ktk vyuo vikubwa duniani. Nakupa mfano moja tu, yupo dr charles ( nimesahau jina la pili) alimaliza phd ndani ya miaka 2 hapo udsm, kutokana policy ya udsm akaambiwa asubiri kwa kuwa amemaliza phd kabla ya muda. Sasa kama dr slaa anazo kichwani, na chuo alichosomea hakina tatizo na muda huo, tatizo liko wapi? Mwa maelezo zadi dr charles anafanya kazi na dfid taasisi inayoshughulikia misaada ya uingeraza hapa tanzania.
mimi nadhani kingwangala angejibu kwanza utata wa jina lake na hatima ya magamba ya ccm kabla ya kuja na hoja isiyo na mashiko.
mosi, suala siyo phd ya kupewa au kusomea - suala ni mchango wa mhusika kwa taifa. Marehemu chachage aliwahi sema uprofesa au phd bila mchango wa maana kwa taifa ni sawa na sifuri. Slaa haheshimiki siyo kwa sababu ya phd yake bali mchango wake.
pili, dunian kote, japo kuwa mimi si mkatoliki lakini elimu ya wakatoliki na elimu zinazotolewa n a vyuo vingine vya kawaida ni sawa. Mfumo wao unaaminika kuwa wana elimu bora iwe seminary au chuo kikuu. Hilo nalo lielweke vizuri.
tatu, hoja ya kingwagala imeelemea sana kwenye muda. Muda si hoja. Wapo watu wengi mimi ninawafahamu wamemaliza phd ndani ya miaka miwili ktk vyuo vikubwa duniani. Nakupa mfano moja tu, yupo dr charles ( nimesahau jina la pili) alimaliza phd ndani ya miaka 2 hapo udsm, kutokana policy ya udsm akaambiwa asubiri kwa kuwa amemaliza phd kabla ya muda. Sasa kama dr slaa anazo kichwani, na chuo alichosomea hakina tatizo na muda huo, tatizo liko wapi? Mwa maelezo zadi dr charles anafanya kazi na dfid taasisi inayoshughulikia misaada ya uingeraza hapa tanzania.
mimi nadhani kingwangala angejibu kwanza utata wa jina lake na hatima ya magamba ya ccm kabla ya kuja na hoja isiyo na mashiko.