Usomi wa Slaa una maswali kuliko majibu! Doctarate yake ni ya Kupewa - Kigwangala

Usomi wa Slaa una maswali kuliko majibu! Doctarate yake ni ya Kupewa - Kigwangala

Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.

Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwanga...@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: [wanabidii] Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
@Lessian Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!

Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.

I never fear the consequences of my
actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa
when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a
President!

I lost interest even in listening at him. I am fond of
revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader
of our times in this country!

He wouldnt even appeal to common people and
convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda
ikulu.

Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona
wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri
na 'wakipewa' nafasi!

Huyu hapa ndiyo:

Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata
kutoka

The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.

EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.

SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary

PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary

THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!

HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani
ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni
chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya
Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards
kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?

Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo
ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule
anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu
yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).

Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya
kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.

Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka
vyuo vinavyoeleweka.

Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni
kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!

1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma
gani ya kusoma Mwaka Mmoja?

1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development
Advanced Diploma gani hii nayo tena?

1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.

>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level
>>>>terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.


It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr.,
D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws
(i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque
Juris Doctor).

A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional
study and the development and defense of an original dissertation that
contributes to the development of canon law after having earned the degree
Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical
faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.

The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the
study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology
(S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic
theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in
canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.

While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable
to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms
of academic level of study as they are terminal academic degrees.

>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the
>>>>Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for
>>>>research and teaching within the framework of the Holy See’s educational system
>>>>regulated by the Congregation for Catholic Education.


The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban
VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius,
which was the very first educational institution within the Congregation De
Propaganda Fide.

The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to
establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1,
1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title
“Pontifical” with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on
October 1, 1962.

From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with
a missionary character that has served the Catholic Church through the formation
of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines,
necessary in the evangelizational activity of the Church.

Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and
Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the
world.

The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four
faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of
Canon Law, and the faculty of Missiology.

The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters,
and lay people for service as missionaries.

While the university is owned and operated by the Congregation for the
Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex
officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is
regulated by the Congregation for Catholic Education.

Naomba kuwasilisha.

Wakatabahu,
HK.
ngoja nikae pemben ili niusome mchezo vizuri.hii thread ya huyu jamaa inahitaji watu wa aina kama yake
 
Ujinga mtupu...Midanganyika bwana yaani hamuachi UDINI kwa kuandika Upupu kama huu? mnatia kinyaa na aibu kubwa hata kwa jinsi mlivyoelimika.

Ujinga ulioandikwa au ujinga wenu kukubali aliyeandikwa kuwa msomi wakati hana degree hata moja? Unanshangaza!
 
pamoja na kuwa kingwangala hana moral authority ya kuhoji elimu dr slaa ngoja tumjibu kw faida ya wengi.
mosi, suala siyo phd ya kupewa au kusomea - suala ni mchango wa mhusika kwa taifa. Marehemu chachage aliwahi sema uprofesa au phd bila mchango wa maana kwa taifa ni sawa na sifuri. Slaa haheshimiki siyo kwa sababu ya phd yake bali mchango wake.
pili, dunian kote, japo kuwa mimi si mkatoliki lakini elimu ya wakatoliki na elimu zinazotolewa n a vyuo vingine vya kawaida ni sawa. Mfumo wao unaaminika kuwa wana elimu bora iwe seminary au chuo kikuu. Hilo nalo lielweke vizuri.

tatu, hoja ya kingwagala imeelemea sana kwenye muda. Muda si hoja. Wapo watu wengi mimi ninawafahamu wamemaliza phd ndani ya miaka miwili ktk vyuo vikubwa duniani. Nakupa mfano moja tu, yupo dr charles ( nimesahau jina la pili) alimaliza phd ndani ya miaka 2 hapo udsm, kutokana policy ya udsm akaambiwa asubiri kwa kuwa amemaliza phd kabla ya muda. Sasa kama dr slaa anazo kichwani, na chuo alichosomea hakina tatizo na muda huo, tatizo liko wapi? Mwa maelezo zadi dr charles anafanya kazi na dfid taasisi inayoshughulikia misaada ya uingeraza hapa tanzania.
mimi nadhani kingwangala angejibu kwanza utata wa jina lake na hatima ya magamba ya ccm kabla ya kuja na hoja isiyo na mashiko.


Mchango wa maandamano na kupelekea watu kuuliwa? mchango wa ile kitu nyingine kwenye jamii? come-on lets be real for once please.
 
Dr Kigwangala simlaumu kwa alichoandika, field supervisor wangu wakati nasoma ni msomi wa uzamivu, kasoma Ulaya mashariki enzi hizo na haoneshi kuwa ana masterz, niliwahi kumuuliza ni kwanni, jibu ni kama ambalo limetolewa na wadau kuwa mifumo ya kielimu inatofautiana sana na si wote wanafuata mfumo wa UK, ukweli unabaki kuwa dr Slaa ni msomi aliyezamia katika canon law, kigwangala ni medical dokta na JK sio dokta wa kusomea, udokta wa jk hata viongozi wa deci wanaweza kupewa
 
Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.

Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwanga...@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: [wanabidii] Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
@Lessian Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!

Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.

I never fear the consequences of my
actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa
when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a
President!

I lost interest even in listening at him. I am fond of
revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader
of our times in this country!

He wouldnt even appeal to common people and
convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda
ikulu.

Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona
wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri
na 'wakipewa' nafasi!

Huyu hapa ndiyo:

Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata
kutoka

The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.

EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.

SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary

PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary

THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!

HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani
ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni
chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya
Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards
kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?

Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo
ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule
anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu
yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).

Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya
kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.

Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka
vyuo vinavyoeleweka.

Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni
kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!

1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma
gani ya kusoma Mwaka Mmoja?

1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development
Advanced Diploma gani hii nayo tena?

1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.

>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level
>>>>terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.


It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr.,
D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws
(i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque
Juris Doctor).

A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional
study and the development and defense of an original dissertation that
contributes to the development of canon law after having earned the degree
Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical
faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.

The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the
study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology
(S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic
theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in
canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.

While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable
to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms
of academic level of study as they are terminal academic degrees.

>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the
>>>>Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for
>>>>research and teaching within the framework of the Holy See’s educational system
>>>>regulated by the Congregation for Catholic Education.


The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban
VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius,
which was the very first educational institution within the Congregation De
Propaganda Fide.

The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to
establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1,
1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title
“Pontifical” with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on
October 1, 1962.

From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with
a missionary character that has served the Catholic Church through the formation
of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines,
necessary in the evangelizational activity of the Church.

Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and
Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the
world.

The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four
faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of
Canon Law, and the faculty of Missiology.

The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters,
and lay people for service as missionaries.

While the university is owned and operated by the Congregation for the
Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex
officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is
regulated by the Congregation for Catholic Education.

Naomba kuwasilisha.

Wakatabahu,
HK.
Mimi napenda kuchangia masomo ambayo yanayofundishwa mtu akienda kusoma falsafa na teolojia: Zamani masomo ya falsafa yalikuwa miaka miwili na teolojia miaka 3. Siku hizi ni miaka mitatu mitatu na vyuo vingine teolojia ni miaka minne:

1. Kwenye Falsafa: Masomo yanayosomwa ni pamoja na - A History of Philosophy (from poets Hesiod & Homer to contemporary philosphers including Mwalimu Julius Nyerere etc), Philosophy of Religion, Ontology (Metaphysics), Epistemology, Logic and Language, Philosophy of Sciences, Theodicy, Moral Philosophy (+ moral dilemmas: genetic engeering, human cloning, contraceptives, abortion, masturbation, suicide, homosexuality, HIV/Aids, euthanasia (mercy killing), just war, civil disbedience, etc), Philosophical Anthropology, Social and Political Philosophy and Psychology.

Katika baadhi ya vyuo anayemaliza masomo haya anapata degree ya kwanza (yaani BA in Philosophy). Zamani kwa hapa Tanzania, maaskofu hawakuwa tayari wahitimu wapate degree kwa vile waliona hawahitaji, hivyo vyuo vingi vya falsafa na teolojia walikuwa wanapata certificate au diploma ingawa hapakuwa na sababu za msingi za wahitimu kutopata degree.

2. Masomo ya teolojia ni miaka 3 na vyuo vingine ni 4: Baadhi ya masomo yake ni Revelation, Theology of Missionary Ministry, Human growth and Development, Social and Cultural Anthropology, Social and Political Ethics, Christian Initiation and the Eucharist, Pastoral Psychology, African Traditional Religions, Canon Law Introduction & Canon Law of Marriage, The Letters of St John, Paul & the Hebrews, Sexual Ethics and Marriage, Liturgical Presidency and Preaching (Public Speaking), Pastoral Care of the Sick, Christian Anthropology, Liturgical Celebration and Sacraments, Fundamental Moral Theology (+ Bioethics), Christology and Trinity, Synoptics, Acts and Catholic Epistles, Theology of World Religions, Church and Ministry, Contextual Theologies, Reconciliation.

Kwa baadhi ya vyuo anayemaliza masomo haya anapata BA au MA kulingana na chuo alichosoma. Ingawa hayo masomo ni basic baadhi ya vyuo vinaongeza masomo mengine. Lakini padre anayehitimu teolojia kwa wastani anakuwa amepitia masomo hayo juu. Na wanaoendelea na masomo ya juu wanaweza ku'specialise' katika masomo wanayochagua kulingana na mahitaji ya utume wao. Labda swali tunaloweza kuuliza ni kwa mfano: mtu aliyesoma UDSM au Chuo Kikuu chochote anamzidi nini Dr Slaa ambaye basically (kabla ya kusoma Canon Law) alipitia masomo kama hayo juu? Nijuavyo mimi anayesoma Canon Law anasoma sambamba na Civil Law. Hivyo, canon lawyer anakuwa amebobea zaidi ya just a lawyer (kwa sababu walau anajua ya pande mbili - canon law and civil law) wakati a civil lawyer anajua tu sheria za nchi.
 
Vyema sana, tujadili kafanya nini:<br />
<br />
1) Kafanya nini mpaka kufukuzwa upadri?<br />
<br />
2) Kafanya nini mpaka kuenguliwa ccm katika kura za maoni?<br />
<br />
3) Kafanya nini mpaka kaoa hali yeye ni padri wa kikatoliki na kanisa hilo haliruhusu mapadri waoe?<br />
<br />
4) Kafanya nini mpaka kashitakiwa kuwa anatembea na mke wa mtu na ilhali ana mke mwingine?<br />
<br />
5) Kafanya nini mpaka katelekeza mke wa awali wakati kanisa haliruhusu?
<br />
<br />
Usisahau kuhoj na jk ana watoto wangapi nje ya ndoa. mzee makamba kwa nini alimtelekeza yule mtoto wa shule ya msingi alipokuwa mwalimu wa shule ya msingi kule mwandiga- kigoma
 
You are so much deprived of logic and arguments that I pity you. Kwani nisingekuwa Mbunge kuna mtu angenizuia kutoa maoni yangu?<br />
Nenda darasani ukasome haki za binadamu, flasafa na mantiki vitakusaidia kidogo!
<br />
<br />
Unasound kama mtoto wa darasa la saba
 
.......................

Hamis clean your bad history of using names that are not yours. Secondly, you were good in peeping during exams from CPL to MPL, and MD3 Lecture theatres, are you proud of that bad character?


Mkuu, asante for this useful information..... kumbe this s.o.b is just another fraud !!

Ok, wewe unayejiita you are an "academic" .............. jibu hizo hoja zilizoelekezwa kwako na watu wanaokufahamu.
Unachekesha kwelikweli ... eti unandika jina na mwisho unaweka MBA !! haa haa haa , ulimbukeni utawamaliza.
 
Binafsi sioni kama kuna tija katika kuangalia ubora wa Phd ya Dr Slaa. Wananchi walio wengi wanamkubali Dr Slaa sii kwa sababu yeye ni Dokta ila kwa kuwa ameonyesha uwezo mkubwa wa kutambua na kutatua shida lukuki zinazoikabili Tanzania. Kama huamini nenda tafuta Historia ya Karatu kabla Dr Slaa hajawa Mbunge, halafu ufananishe na sasa. Hilo ni moja, lakini pia kaangalie utendaji wa Dr. Slaa bungeni katika kutetea maslahi ya Taifa halafu ukafananishe na madokta wengine waliopo Bungeni, akiwemo huyo anayejaribubu kupekua usomi wa Dr slaa badala ya kushughulika na matatizo yanayozidi kuangamiza Tanzania. Jibu unalo. Mwisho, tukimfananisha huyu Dr wa ukweli, na yule Dokta wetu mwingine... ambaye hata hajui ni kwa nini wananchi wake ni Maskini, hapo tumefunga kazi. Dr Slaa ndiye aliyeibua hadharani orodha ya magamba amboyo hadi sasa, huyo dr mwingine ana haha kuyavua. Ni dr Slaa huyo huyo ndiye aliyemshtua Dr huyu mwingine kwamba alikuwa amessign wrong version ya sheria ya ghrama za uchaguzi. Jamani, tuache hizi siasa za "character assassination". Tujikite zaidi kwenye kutafuta mwarobaini wa shida zetu. Cha msingi ni kwamba, Dr slaa ana elimu, uzoefu na dhamira ya kweli ya kuiendeleza nchi yetu.
 
It seems Mugoyangi is ignorant and he doesn't deserve to be a member of JF!!!!! He/she can't be in this forum if he doesn't know that people like Dr Slaa are learned! Theology is a queen of all sciences according to history. Thus Dr Slaa is a learned person and thats why he stands for truth and those who mock him are doing so because they are of shallow mind!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hili ni rahisi sana kujibu lakini nitalijibu kwa namna ya Socrates kidogo. Sijui kama watu wamewahi kumsikia Prof. Juma Mikidadi ambaye ni Mhadhiri Chuo Kikuu na amewahi kuwa Mbunge. Hivi karibuni alizindua kitabu chake kiitwacho "Tarehe ipi Sahihi?" Naomba mtu atusaidia kuhusu elimu ya Prof. Mikidadi; alisomea digrii ya kwanza wapi, na PhD yake aliipata kuhusiana na masomo gani?

Ni Swali ambalo najua jibu lake.
 
Huyu jamaa kama elimu ya Madrasat, hebu atujuze kama anamjua dajali, au ndiye ayemtumikia?
 
Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.

Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwanga...@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: [wanabidii] Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
@Lessian Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!

Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.

I never fear the consequences of my
actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa
when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a
President!

I lost interest even in listening at him. I am fond of
revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader
of our times in this country!

He wouldnt even appeal to common people and
convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda
ikulu.

Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona
wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri
na 'wakipewa' nafasi!

Huyu hapa ndiyo:

Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata
kutoka

The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.

EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.

SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary

PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary

THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!

HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani
ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni
chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya
Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards
kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?

Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo
ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule
anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu
yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).

Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya
kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.

Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka
vyuo vinavyoeleweka.

Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni
kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!

1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma
gani ya kusoma Mwaka Mmoja?

1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development
Advanced Diploma gani hii nayo tena?

1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.

>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level
>>>>terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.


It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr.,
D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws
(i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque
Juris Doctor).

A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional
study and the development and defense of an original dissertation that
contributes to the development of canon law after having earned the degree
Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical
faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.

The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the
study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology
(S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic
theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in
canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.

While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable
to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms
of academic level of study as they are terminal academic degrees.

>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the
>>>>Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for
>>>>research and teaching within the framework of the Holy See’s educational system
>>>>regulated by the Congregation for Catholic Education.


The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban
VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius,
which was the very first educational institution within the Congregation De
Propaganda Fide.

The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to
establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1,
1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title
“Pontifical” with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on
October 1, 1962.

From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with
a missionary character that has served the Catholic Church through the formation
of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines,
necessary in the evangelizational activity of the Church.

Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and
Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the
world.

The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four
faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of
Canon Law, and the faculty of Missiology.

The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters,
and lay people for service as missionaries.

While the university is owned and operated by the Congregation for the
Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex
officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is
regulated by the Congregation for Catholic Education.

Naomba kuwasilisha.

Wakatabahu,
HK.

Ndugu wanaJF, tatizo ninaloona kuhusu baadhi ya wachangiaji wanaosema Dr Slaa ana "digrii ya dini au Kanisa" hawajui ni nini kinachofundishwa huko Seminari Kuu (Major Seminary) – Falsafa na Teolojia ya Kanisa Katoliki. Hivyo, ‘they are arguing from ignorance’ and look stupid when they think they know while they don’t. Wengi wanadhani ukienda kusoma falsafa au teolojia basi unaenda kusoma Biblia tu – yaani kukariri toka mwanzo hadi mwisho! Lakini hata wale wanaosomea Biblical scholars (not theologians) siyo tu kwamba wanasoma Biblia kwa kuikariri bali kuichambua kisayansi na ili wafanye hivyo lazima wajifunze lugha za zamani (e.g. Aramaic, Hebrew, Greek, Latin), historia (world history & Church history), geography and archaeology (pamoja na masomo megine). Actually, wengine anafikiri theology is the same as religious education. Theology is a scientific study of the relationship between God, human beings and the universe usingthe tools of natural and social sciences. God, human beings and the universe are are also the main elements of philosophy. Hapa chini nimeweza kuchukua somo moja la Moral Theology ambalo ni core subject katika teolojia na kila padre lazima alisome na kujaribu kuonesha ni kitu gani kinachofundishwa kwenye somo hilo ili tunapochangia tuwe tunajua tukisema fulani ni padre anakuwa ni mtu mwenye uelewa wa namna gani. Naomba mwenye nafasi apitie kwa uangalifu ili wakati tunachangia kuhusu hao tunaowaita “Wenye degree za dini au Kanisa” tujue wana kitu gani kichwani halafu tujilinganishe na sisi tunaodhani tukisoma kwenye secular universities tunawazidi. Naomba atakayetaka ani‘challenge’ kwa mchango wangu huu. Hapa nimechukua somo moja tu.

Fundamental Moral Theology (+ bio-ethics, medical ethics)

Contents

  1. The principles of bioethics

Introduction: Fundamental concepts of life
1.1 Respect for life
1.1.1 The secular point of view
1.1.2 The magesterium’s teaching on respect for life
1.1.3 Evaluating an absolute respect for life
1.1.4 The term “quality of life”
i) Quality of life and parenthood: The value of physical life
ii) Quality of life and burden/benefit
iii) Quality of life and withdrawing: Withdrawing or providing treatment

1.2 Respect for self or autonomy
1.3 The interpretation of life: basic principles
a. Fundamental preoccupations concerning judgement
i) In accord with nature
ii) With accord with the human person
b. Fundamental errors concerning judgement
c. The principle of totality
d. The principle of risk
e. The principle of ordinary (normal) and extraordinary (artificial) means
I) The key ideas of the first phase of the debate
II) Application of the four key ideas
· What a prudent man would consider as a serious risk and therefore morally excusable
· Obligation to preserve life
· Prolongation of life by heroic or radical measures
· Meaning and use of quality of life judgements
i) The decision to treat based on the burden of treatment
ii) The decision to treat based on the human results of treatment
iii) The magisterium’s use of the key ideas
· To initiate treatment
· To discontinue treatment
iv) Ordinary means as useful treatment
f. The principle of double effect
(1) The object of the action must be right or indifferent in itself; it cannot be intrinsically evil
(2) The wrong effect, though foreseen, cannot be intended
(3) The wrong effect cannot be the means to the right effect
(4) There must be proportionate reason for allowing the wrong effect to occur

· Deontological interpretation of the double effect principle
· Proportionalist interpretation

Five conditions for determining whether there is a proportionate reason:
(1) There is an irreducible conflict of values
(2) There is an obligation to act in the present
(3) The means are ontologically proportioned to the protection of the obligatory predominating value that is strictly and ontologically necessary
(4) Among the means one must choose the least harmful that is the best calculated to protect the values
(5) The action does not amount to denial of values on at a universal level
· Teleological interpretation


1.4 The interpretation of life – The tradition of the Church
a. In Jewish and early Christianity
b. The distinction of formed and unformed
c. The problem of the unjust aggressor theory
d. The position of the modern magisterium
i) Teaching based on the natural law of Neo-Scholasticism
ii) Teaching based of the dignity of humankind
iii) Teaching based on a sanctified human anthropology

1.5 The interpretation of life: Human genetics and embryology
· Hydatidiform moles
· Zygote’s requirement for maternal cytoplasm
· Totipotentiality of the cells during the zygote’s early cleavages (genetic identity of the zygote)
1.6 The interpretation of life: Philosophical concepts
· Relationship to becoming or longitudinal concepts of potentiality
· The significance of certain properties (eg. The beginning of brain waves)


  1. Moral dilemmas at the beginning of life
2.1 Human experimentation
  1. Therapeutic experimentation
· Reasonable hope of success
· There must be an equal possible benefit for the patient to compensate for the risks run
  1. Non-therapeutic experimentation

2.2 Genetic control
2.2.1 Genetic engineering
2.2.2 The use of genetic screening
2.2.3 Cloning

2.3 Infertility and assisted fertilisation

+ These problems have produced various solutions to infertility

· Artificial insemination by husband (AIH)
· Artificial insemination by donor (AID)
· In vitro fertilisation (IVF)
· Gamete interfallopian transfer (GIFT)
· Pronuclear stage tubal transfer (PROST) & tubal embryo transfer (TEST)
· Intrauterine insemination (IUI)
· Intracytoplasmic sperm injection (ICSI)

+ The moral debate
i. The nature of human parenthood
a. The right of a couple to have a child
b. The personal interpretation of procreation
c. The physical interpretation of procreation
d. The motivation of assisted procreation
e. The questions concerning the procedure


2.4 Sterilisation
2.5 Abortion
a) Responsibility approach
b) The dignity of a person
c) Therapeutic abortion

  1. Ethics at the end of life
3.1 The Biblical and theological concept of death
3.2 The clinical and philosophical concept of death
· Irreversible coma
· Whole brain death
· Brainstem death
· The debate beyond clinical observation

3.3 The care of the irreversibly ill
a) The psychological process of dying
b) Application of the principles to the care of the terminally ill
i) The dying are only required to prolong life by appropriate means (the patient must be kept alive as long as possible even by using life support machines)
ii) The right to information increases with the risk the patient runs
c) Christian death (death for each of us must be faith-filled as well as fully human)

3.4 Self killing – suicide and euthanasia
i) Tradition (Plato and the Neo-Platonists, Aristotle, Stoics, Hume, Nieazesche, Kant, Heideggar, Satre, Christian tradition: Justin, Clement of Alexandria, Origen and Augustine, Council of Carthage, Thomas, Vatican II)

ii)The heroic sacrifice of life
· Authorised by society
· Authorised by God
· Active and passive sacrifice of one’s life
· Subjective incapability
· The 1982 debate (death resulting from hunger strike)
· The proportionate reason
· The intention to continue until death
· Some consider hunger strike as a ‘non-violent protest’

iii) Euthanasia
a. Passive euthanasia
b. Active euthanasia
c. Voluntary euthanasia

iv) Positive rejection of euthanasia
 
Mkuu, asante for this useful information..... kumbe this s.o.b is just another fraud !!<br />
<br />
Ok, wewe unayejiita you are an &quot;academic&quot; .............. jibu hizo hoja zilizoelekezwa kwako na watu wanaokufahamu. <br />
Unachekesha kwelikweli ... eti unandika jina na mwisho unaweka MBA !! haa haa haa , ulimbukeni utawamaliza.
<br />
<br />
inabdi huyu mbunge wa nzega ajibu hoja zinazoelekezwa kwake kuna thread ilishawekwa hapa na ndugu bashe akimtuhumu alitumia jina la mwanafunzi mwingne aliyefaulu darasa la saba inasemekana huyo hamis yupo nzega town sijui kigwa kama uwa anampatia japo vijsenti vya kusukuma maisha.ajibu hoja asikimbie kihiyo mzee wa madesa hadi chuo teh teh teh! Hadi ubunge kutoka 3 hadi akachaguliwa yeye khaaa!
 
<br />
<br />
inabdi huyu mbunge wa nzega ajibu hoja zinazoelekezwa kwake kuna thread ilishawekwa hapa na ndugu bashe akimtuhumu alitumia jina la mwanafunzi mwingne aliyefaulu darasa la saba inasemekana huyo hamis yupo nzega town sijui kigwa kama uwa anampatia japo vijsenti vya kusukuma maisha.ajibu hoja asikimbie kihiyo mzee wa madesa hadi chuo teh teh teh! Hadi ubunge kutoka 3 hadi akachaguliwa yeye khaaa!

hata mimi bado nasubiri majibu yake kuhusu wizi wa jina aliofanyiwa na mama yake
 
Baada ya kusoma uchambuzi wa Kigwangala kwenye -- kutoka wanajamii, napata hoja kuwa Slaa anapaswa kujibu na kujieleza kuhusu usomi wake -- unaodaiwa hapa chini kuwa ni wa kitaa.

Ajibu ama vinginevyo hana tofauti na usomi wa akina Salmini Amour na Mugabe na kama ndiyo kweli hana hoja za kuwacheka wengine. Kwa hakika anapaswa kufafanua!

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwanga...@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wed, 25 May, 2011 11:36:39
Subject: Re: [wanabidii] Ujio wa CHADEMA Iringa: Tafsiri Yangu
@Lessian Mollel, for goodness sake I am an academic, I never talk factlessly!

Ninaposema amesomea mambo ya dini sibahatishi, kama kuna mwenye taarifa sahihi
zaidi ya hizi nitakazozitoa hapa chini basi na azilete hapa. I dont hate the guy
but these are facts and for upright people like me (Tundu Lissu knows my
history) we always stand for the truth.

I never fear the consequences of my
actions as long as I believe in something...I used to be a great fun of Slaa
when he was MP, but slowly I begun to see how low and insufficient he was for a
President!

I lost interest even in listening at him. I am fond of
revolutionaries, like Sankara, Lumumba, Gandhi, X, Nyerere, King Jr and even
recently Obama, but he is never even an inch close to being a charismatic leader
of our times in this country!

He wouldnt even appeal to common people and
convince them to vote for him, analijua hili na ndo maana anataka kuleta vurugu
kwa kauli za kichochezi, anadhani hiyo ndiyo itakuwa shortcut yake ya kwenda
ikulu.

Bora hata young people like Lissu, Zitto, Mnyika, Wenje ninawaona
wana-appeal na wanaweza hata kuja kutusumbua huko mbele kama wakijipanga vizuri
na 'wakipewa' nafasi!

Huyu hapa ndiyo:

Willibrod Peter Slaa (J.C.D., ikimaanisha Juris Canonici Doctor) ambayo aliipata
kutoka

The Pontifical Urbaniana University.
Date and Place of Birth: 29.10.1948,Kwermusl,Mbulu,Tanzania.

EDUCATION:
PRIMARY: 1958-1961 Kwermusl
1962-1965 Karatu Middle School.

SECONDARY: 1966-1969 Dunguyi Seminary
1970-1971 Itaga Seminary

PHILOSOPHY:
1972-1973 Kibosho Seminary

THEOLOGY:
1974-1977 Kipalapala Seminary
1974-1976 Makerere University,Diploma,Theology Alisoma Kipalapala, Tabora na
Makerere mwaka huo huo mmoja!

HIGHER EDUCATION:
1979-1981 Pontifical Urbanian University,Rome,JCD(summa cum laude) Doctor gani
ya kusoma miaka miwili, na hapo hatujajua ni miezi gani aliingia, inawezekana ni
chini ya miaka hii miwili inayoonekana hapa kwenye Bio yake! Hana Digrii ya
Kwanza, wala ya Pili, Hiki Chuo kinachukua wanafunzi walio below standards
kuingia kusomea masomo ya level ya tatu?

Elimu ya Slaa, hata hiyo hiyo
ya Sheria ya Dini ina Mashaka makubwa. Kumbe hata Sheikh au Ustadh yeyote yule
anaweza kupewa Honoris Doctor na kuomba Urais na akatuongoza kwa kutumia elimu
yake ya kitaa na ile ya sheria za dini (Islamic Jurisprudence).

Kweli watanzania wasitupe Big G yao mdomoni kwa kupewa karanga za kuonjeshwa! Na tutaanza kazi ya
kuwaelimisha watanzania kuhusu hii falsafa.

Bora hata huyo JK mwenye BA kutoka chuo kinachoeleweka na Honoris Doctor na Honoris Magister zilizowazi na kutoka
vyuo vinavyoeleweka.

Kisha uzoefu na exposure ya JK kiuongozi na kidiplomasia ni
kubwa sana kuliko huyu Bwana Slaa wenu mnayemfagilia sana kuwa ni msomi!

1980-1980 ADV.Diploma-Socio-Political Studies,Koln,Germany(KAF) Advance diploma
gani ya kusoma Mwaka Mmoja?

1981-1981 St.Thomas Aquinas University,Rome,AD.Diploma Rural Development
Advanced Diploma gani hii nayo tena?

1985-1985 London COR.College, Principles and Practice of Management Certificate.

>>>>Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level
>>>>terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.


It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr.,
D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws
(i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque
Juris Doctor).

A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional
study and the development and defense of an original dissertation that
contributes to the development of canon law after having earned the degree
Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical
faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.

The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the
study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology
(S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic
theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in
canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.

While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable
to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms
of academic level of study as they are terminal academic degrees.

>>>>The Pontifical Urbaniana University, is an academic institution belonging to the
>>>>Congregation for the Evangelisation of Peoples. The University provides for
>>>>research and teaching within the framework of the Holy See's educational system
>>>>regulated by the Congregation for Catholic Education.


The origins of the Urbaniana date back to 1st August 1627, when Pope Urban Urban
VIII decided to establish the Urban College with the Bull Immortalis Dei Filius,
which was the very first educational institution within the Congregation De
Propaganda Fide.

The origins of the university date back to Pope Urban VIII who decided to
establish the Urban College with his papal bull Immortalis Dei Filius (August 1,
1627). The Pontifical Urbaniana University was endowed with the title
"Pontifical" with the motu proprio Fidei Propagandae of Pope John XXIII, on
October 1, 1962.

From its beginnings, the Urbaniana has always been an academic institution with
a missionary character that has served the Catholic Church through the formation
of missionaries and experts in the area of Missiology or other disciplines,
necessary in the evangelizational activity of the Church.

Since 1966, the Urbaniana has accepted the affiliation of Seminaries and
Institutes of Philosophy, Theology, Missiology, and Canon Law from all over the
world.

The university had about 1400 students in 2004.
The university, which is located on the Janiculum Hill in Rome, has four
faculties: the faculty of Theology, the faculty of Philosophy, the faculty of
Canon Law, and the faculty of Missiology.

The university's mission is to train priests, religious brothers and sisters,
and lay people for service as missionaries.

While the university is owned and operated by the Congregation for the
Evangelization of Peoples, whose Prefect (currently Fernando Filoni) is ex
officio the Chancellor of the university, as a center of higher education it is
regulated by the Congregation for Catholic Education.

Naomba kuwasilisha.

Wakatabahu,
HK.

Kigwangala ulitaka asomee mambo gani. wakatoliki wan a standard zao za elimu and surely they are not below any imagination of standards. We unachotaka ni western standards in routine academic path. hata kama madrasa yangekuwa yanajikita hata kidogo kwenye elimu DUNIA, then it will be OK. Lakini Dr. Slaa amepitia normal schooling chanels mpaka hapo alipomua kwenda kwenye fani yake ya dini. Sioni tatizo. Ndio maana wawakilishi wa Pope wanakuwa wasomi wazuri kuwana hadhi ya kuiwakilisha Vatican.
 
Back
Top Bottom