King Rabbit
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 1,145
- 4,293
Ninge coment sema nipo kwenye kikao bibi yangu kapewa mimba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila kitu mwenye akili amuangalie vizuri tu huyo ostaadh me nimekuja mbio nikajua maostaadh wetu wa Jf nikasema nani ataitetea Hezbolah kumbe hao majamaa bhanaUshawahi kufuatilia kesi za hao wanaodakwa hapo Muhimbili kama madaktari feki, hao wako kazini na wala hawafungwi jela
Mtoa mada alichelewa kuja mjini hiyo video ya kitambo sana , yeye ndio kaona Leo na kaipost kama mpya au mtoa mada ni miaka 17 kipindi linatokea hilo tukio hakuwa na simu janjaMwalimu na Ustaadh Mkuu Dr Musa amedakwa akitapeli wagonjwa Muhimbili. Tukimbilie wapi?.Hawa ndo wanafundisha watoto Madrasa, kweli Kwa design hii watoto wapo salama?
Prof Janabi dhibiti Hawa kama uhusiki