herry msagati
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 293
- 199
Ngoja tukusahihishe wenye dini yetu huu ni mwezi Ramadhani ameenda kwa ajili ibada ya Ummra sio hija, hija bado mpaka mwezi huu uishe uje mwingine tena utakaofuata ndio Hijja.View attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.
Kuna wakati juha lazima apewe jibu la kijuha kama yeye, wanakera sana hawa watuJitahidi kudhibiti hasira zako mkuu hasa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani ili kuipata ibada hii vema!
Sio hijja ni UmraView attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.
Hijja ni ibada ambayo ipo kwa wakati wake maalum na mwezi maalum,umrah ni ibada ambayo muislamu anakwenda makkah wakati wowote, isipokuwa mwezi wa hijjaUmra ni nini mkuu?
Au hujui kama umra ni hijja ndogo?
Siyo hija hiyo UmrahView attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.
Ina chuki sana hii mijitu cjui tumewakosea nn asee!Vifua vyenu vimejaa chuki na uislamu, nadhani ulitamani kumuona akienda kanisani, hivi inakukera nini wewe kwa yeye kwenda makkah?
Kuna muda inakera sana hii mijitu ya upande wa pili jambo lolote lile likihusiana na usilam tu inakuwa tabu!Jitahidi kudhibiti hasira zako mkuu hasa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani ili kuipata ibada hii vema!
Sawa kabisa tukiwa wastaarab sana wanatuchukulia poa mbwa hawa!Kuna wakati **** lazima apewe jibu la kijuha kama yeye, wanakera sana hawa watu
View attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.
Umenena ShariffMwenyezi mungu humuongoa amtakaye na kumpoteza amtakaye.
Punguza jazba mkuu.... unaharibu funga yako. Nikutakie mfungo mwema.....Kuna muda inakera sana hii mijitu ya upande wa pili jambo lolote lile likihusiana na usilam tu inakuwa tabu!
hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
mkuu wonderful naomba nikurekebishe kidogo sio ibada ya Hijjah bali ameenda kwa ajili ya ibada ya Umrah..View attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.