Ustadhi Paul Pogba atua Macca kwa ajili ya ibada tukufu ya Hijja!!

Ustadhi Paul Pogba atua Macca kwa ajili ya ibada tukufu ya Hijja!!

Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
Angekuwa ameenda Bethlehem ungeharisha hayo
 
upload_2017-5-29_17-40-25.jpeg

Image caption Paul Pogba is already believed to have performed the Hajj

The world's most expensive footballer is on a pilgrimage to Islam's holiest city as he marks the start of Ramadan.

French international Paul Pogba shared a picture of himself in Mecca on Sunday, captioning it the "most beautiful thing I've seen in my life".

He also sent a tweet wishing everyone a "happy Ramadan".

The 24-year-old became the most expensive footballer in history last summer, after Manchester United paid Juventus a reported £89m ($114m) fee.

On Wednesday, he lifted the Europa League cup after Manchester United beat Ajax in the final in Stockholm.

upload_2017-5-29_17-41-32.jpeg

Image copyright PA Image caption Pogba broke the world record for the most expensive transfer fee last summer
Following the end of the season, he shared a short video of himself with a suitcase, saying he was "en route" for his prayers. He is attending Umrah, a non-mandatory Muslim pilgrimage.

Pogba is reported to have visited Mecca at least once before, when he performed the Hajj, a journey every healthy adult Muslim who can afford it is supposed to make at least once in their lives.

Paul Pogba, world's most expensive footballer, visits Mecca - BBC News
 
View attachment 515911
Mchezaji soka aliye ghali zaidi duniani amefanya ziara ya kihujaji kwenda katika mji mkatatifu zaidi wa Kiislamu, Mecca, wakati wa mwanzo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa Paul Pogba alipakia mtandaoni picha yake akiwa Mecca siku ya Jumapili na kuandika "kitu cha kupendeza zaidi nilichowahi kukitazama maishani mwangu."

Aidha, aliandika ujumbe kwenye Twitter kutakia kila mtu "Ramadhani jema."

Pogba, 24, aliibuka mchezaji ghali zaidi katika historia majira ya joto mwaka jana, Manchester United walipowalipa Juventus ada ya £89m ($114m).

Jumatano, alifunga bao na kusaidia Manchester United kulaza Ajax 2-0 na kushinda kombe la ligi ndogo ya klabu Ulaya, Europa League mjini Stockholm, Sweden na pia kuwezesha klabu hiyo kufuzu kwa Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya msimu ujao.

Baada ya kumalizika kwa msimu wa soka, Pogba alipakia mtandaoni video fupi yake na mkoba na kusema alikuwa "safarini" kwenda kufanya maombi yake.

Pogba anafanya Umrah, ambayo ni safari ya kihujaji ambayo si ya lazima katika dini ya Kiislamu.

Pogba amewahi kuzuru Mecca angalau mara moja awali, ambapo alifanya Haji, safari ya kihujaji ambayo kila Mwislamu aliyekomaa na mwenye afya anafaa kuifanya angalau mara moja maishani.

Mecca unaaminika kuwa mji alikozaliwa Nabii Muhammad, na watu wasio Waislamu hawaruhusiwi kuingia.

Kwa hisani ya BBC Swahili
MashaAllah...hapo ndio ujue watu wooote ni sawa.mali ni maua tu. Shuka hilo alilo vaa lina maana kubwa sana. Uwe tajiri uwe maskini vazi utakalo vaa ni hilo na hata ukifa unazikwa na hilo. ukiwa maka hakuna cha guci wala mk you name it. MashaAllah
 
Back
Top Bottom