Ustawi wa Jamii: Wakati tunawaangalia hawa watoto wa Majumbani; Je tumewasahau hawa wa Kitaa ?

Ustawi wa Jamii: Wakati tunawaangalia hawa watoto wa Majumbani; Je tumewasahau hawa wa Kitaa ?

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Sisemi kwamba tuache kuwaangalia na hawa wa majumbani ( i.e. Kuziba Ukuta ni vema ili Kesho Tusijenge Ukuta...) Lakini atleast hawa wana wazazi / walezi wanaowalea ingawa tunasema eti wasiwachape hivyo kuwatisha!!!
mtoto kuchapwa 1.jpg
Mtoto kuchapwa 2.jpg
Lakini Haimaanishi kwamba kama Ukuta Umeshaanguka ndio tusiujenge na Hawa watoto wa Kitaa pia ni Taifa la Kesho, Hivyo nguvu nyingi zingewekezwa na Huku...; Na kama Mtoto mwenye Mlezi / Mzazi wake akiharibika itakuwa ni Failure ya mzazi husika, lakini hawa wa Kitaa ni Failure kwa Jamii kwa Ujumla....
slum children.jpg
 
Watu waachane ngono nzembe

Wawe responsible na mimba za mademu zao

Wanawake nao wasipende bia za bure wanalewa wanapigwa mimba baba hamjui.

This is a black people problem
Kwamba watoto waliopo Kitaa root cause ni single parent na kutokumjua baba, wengine wengi tu ni sababu ya kuambia kwamba mzee wako / mama yako anakutesa hivyo kuamua kukimbia Home....; Na aliyekwambia watoto wa kitaa ni Africa pekee ni nani ?
Countries with many street children include Brazil, India, Pakistan, Bangladesh, and South Africa

By the way my main point is kuliko kutumia rasilimali muda na kuwafundisha wazazi jinsi ya kulea watoto wao sijui wasipigwe sababu wataogopa hizo nguvu zingetumika kwa hawa ambao wanapigwa na mazingira kwa kukosa basic needs za chakula, malazi na mavazi..., na ndio hao kina Panya Road wa kesho..., Ukiongezea na Wazee omba omba wa kesho, I can honestly say I can not see anything which is going accordingly....

 
Sisemi kwamba tuache kuwaangalia na hawa wa majumbani ( i.e. Kuziba Ukuta ni vema ili Kesho Tusijenge Ukuta...) Lakini atleast hawa wana wazazi / walezi wanaowalea ingawa tunasema eti wasiwachape hivyo kuwatisha!!!
Lakini Haimaanishi kwamba kama Ukuta Umeshaanguka ndio tusiujenge na Hawa watoto wa Kitaa pia ni Taifa la Kesho, Hivyo nguvu nyingi zingewekezwa na Huku...; Na kama Mtoto mwenye Mlezi / Mzazi wake akiharibika itakuwa ni Failure ya mzazi husika, lakini hawa wa Kitaa ni Failure kwa Jamii kwa Ujumla....

Hii ni Tanzania
 
Katika wizara/taasisi ambayo naona kama they're not doing enough ni hii. Serikali inatakiwa kuwekeza sana huko ili kuepukana na kizazi cha hovyo huko mbeleni.
 
Umeongea kitu cha msingi sana mkuu balikiwa kwa kuliona wimbi hili la watoto

Binafsi naweza kusema kwamba hawa watu wa ustawi hawajui hata majukumu yao ninini
 
Kataa ndoa ndio zao lako hilo, wanakataa ndoa ila utelezi wanautaka, yaani ni sitaki nataka
Je inamaanisha ukifanya ngono lazima upate mtoto ? Labda ungeniambia watu wa imani ambao wanaamini kila kiumbe kinafaa kuendelezwa na wanapinga matumizi ya contraception..., Hakuna sehemu ambapo marriages / ndoa ni taasisi ya maana kama India lakini ni nchi ambayo inaongoza kwa Watoto wa Mitaani.. Swali ni kwanini ?

Gap in Classes kubwa yaani have's and have nots..., bila kuwa na facilities za kuweza kuwapa ahueni hawa watu pamoja na kutokuwa na infrastructure nzuri zilizojengwa kwa ajili ya watu...
 
Je inamaanisha ukifanya ngono lazima upate mtoto ? Labda ungeniambia watu wa imani ambao wanaamini kila kiumbe kinafaa kuendelezwa na wanapinga matumizi ya contraception..., Hakuna sehemu ambapo marriages / ndoa ni taasisi ya maana kama India lakini ni nchi ambayo inaongoza kwa Watoto wa Mitaani.. Swali ni kwanini ?

Gap in Classes kubwa yaani have's and have nots..., bila kuwa na facilities za kuweza kuwapa ahueni hawa watu pamoja na kutokuwa na infrastructure nzuri zilizojengwa kwa ajili ya watu...
Mtoto ni matokeo ya kufanya ngono mkuu, au unafikiri mtoto anapatikana je? watoto wengi wa mtaani utasikia hawamjui baba ila mama wanamjua, sasa kwanini baba asiwepo hapo ujue baba alikacha mama majukumu yakamshinda akashindwa kulea mwenyewe hao watoto, Hakuna baba atakubali mwanae ageuke kuwa omba omba atapambana kwa jasho na damu.

B yake, watoto unakuta wamepoteza wazazi na walioachiwa wameshindwa kutimiza majuku yao juu ya hao watoto
 
Mtoto ni matokeo ya kufanya ngono mkuu, au unafikiri mtoto anapatikana je? watoto wengi wa mtaani utasikia hawamjui baba ila mama wanamjua, sasa kwanini baba asiwepo hapo ujue baba alikacha mama majukumu yakamshinda akashindwa kulea mwenyewe hao watoto, Hakuna baba atakubali mwanae ageuke kuwa omba omba atapambana kwa jasho na damu.
Kuna watoto wengi kitaa wana wazazi ni kwamba wamekimbia kwao wengine wanaona kwamba wanazinguliwa na wazazi (wa hivyo pia wapo);
B yake, watoto unakuta wamepoteza wazazi na walioachiwa wameshindwa kutimiza majuku yao juu ya hao watoto
Kwahio unapingana na sentensi yako ya hapo juu ? Au sababu kila mtu anaweza kufa basi asizae / asiwe na mtoto ? Na wanaoachiwa si ndio kina sisi kama tunalipa Kodi na inakusanywa nyingi na kuna wizara ya kazi hio kwanini isiangalie hawa watoto waliaochwa na wazazi wao kupotea ?
 
Back
Top Bottom