uswahilini kuna vituko

Ila JF kikiletwa kitu, kila mtu anaponda. Utasema wote wanatenda kimalaika!!!
Anyway maisha ya uswahilini na uswahili wao, ndivyo walivyokuwa wakakuta. Mimi napenda kuona wanavyoendesha maisha yao. Wanaenjoy wenyewe hawana aibu wala kumuogopa mtu. Waendelee...
 
Uswazii km mambeleeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…