Uswahilini Mzee wa miaka 80 ana Mtoto wa miaka 60 ana Mjukuu wa miaka 40 ana Kitukuu cha miaka 20 na Kilembwe, CCM mmetisha sana!

Uswahilini Mzee wa miaka 80 ana Mtoto wa miaka 60 ana Mjukuu wa miaka 40 ana Kitukuu cha miaka 20 na Kilembwe, CCM mmetisha sana!

Wote walikuwa wanazaa wakiwa na 20 years of age
 
Nyara ya serikali utapigwa mvua 30 na faini juu. Omba JU wasikuone.
 
MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Uzuri wa Kiongozi mwenye miaka 80+ anakuwa anapigania future ya Vilembwe

CCM mnaona mbali sana Kwa sababu Vilembwe ndio vinatishiwa na Artificial intelligence

Mlale unono 😀
Wahenga wamenena "isiyo kongwe haivushi"!

BWANA akulinde kwa malaika wake usiku huu,amin!

#Nchi Kwanza!
#CCM haijawahi kuitelekeza nchi!!
 
Uzuri wa Kiongozi mwenye miaka 80+ anakuwa anapigania future ya Vilembwe

CCM mnaona mbali sana Kwa sababu Vilembwe ndio vinatishiwa na Artificial intelligence

Mlale unono 😀
Hongereni kwa KIKONGWE WASIRA
 
Back
Top Bottom