Uswizi yatangaza kuzuia zaidi ya Tsh. Trilioni 350 za Warusi

Uswizi yatangaza kuzuia zaidi ya Tsh. Trilioni 350 za Warusi

Wanajiingiza vitani ... watajuta kesho .. vita vitaisha na nchi zilizoona ujinga zitajitoa uswese... biashara ya benki inatanuka
Kameendelea kwa kuchukua pesa ya watu na mafisadi yanayofichaga pesa huko uakafa bila kusema
 
....And the sanctions lifting will be linked to the stepping down of Putin as the Russian president and the Russian government's pledge to pay the war reparations to Ukraine.

It will surely be a tall order for the east European country.
 
zilizowekwa na Warusi si zilizowekwa na Urusi elewa mada
Setting aside the tradition of neutrality, President Ignazio Cassis announced that Switzerland would freeze the assets of Russian President Vladimir Putin and 370 politicians and businessmen sanctioned by the EU.


Soma hapo, wenzako walipokuwa wanajifunza kujua kiingereza wewe ulikuwa unakimbiza ringi za Baiskel

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Dunia ijiandae kukabiriana na ugaidi wa kutisha kwa sababu russia atawapa silaha kubwa magaidi, hatakubari abanwe hewa halafu akae kimya ,,,,,,,9/11 is coming again
Muda huo the 5 Eyes wako wapi?
 

Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi​

17 Machi 2022
avion


Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asiporudisha mali za Urusi nje ya nchi zitakamatwa, mwisho wa siku hizo ndege Urusi hataweza pata spares
 
....And the sanctions lifting will be linked to the stepping down of Putin as the Russian president and the Russian government's pledge to pay the war reparations to Ukraine.

It will surely be a tall order for the east European country.
Mwisho wa Vita Urusi ataumia sana na atakubali concession za Ukraine ikiwemo kutoingia Cremia
 
STRUGGLE MAN sijui atachangiaje hapa kwasabab ana residence ya uswis na pia ni pro kremlin.

Ila hii hatia za magharib kuzuia mali na asset za watu siyo vizuri. Watu wamepambana kutafuta hela na mali kwa nguvu, bidii na akili halafu ghafla tu unawapora.
Unatafuta hela unakwenda kuficha Kwa jirani? Acha upigwe.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Jumuiya ya Wanabenki wa Uswizi imetangaza kuwa raia wa Urusi wameweka kati ya Dola bilioni 160 - 213 nchini humo. Fedha hizo ni sawa na Tsh. Trilioni 372 – 495.

Mbali na #Uswizi kusifiwa kwa utunzaji wa taarifa za wateja Rais wa Nchi hiyo, Ignazio Cassis amesema watazuia fedha hizo za Rais Vladimir Putin, wanasiasa na wafanyabiashara.

Urusi imewekewa vikwazo na Jumuiya ya Ulaya (EU) kutokana na mashambulio ambayo #Urusi ameendelea kuyatekeleza dhidi ya #Ukraine
===

Swiss banks disclose how much Russian money they hold

The Swiss Bankers Association revealed there’s around $160-$213bn of Russian clients’ money held in Swiss accounts.

Swiss banks are usually prized for their anonymity and safety, the rare estimation of holdings by Russian clients being made amid sanctions slapped on Moscow.

Setting aside the tradition of neutrality, President Ignazio Cassis announced that Switzerland would freeze the assets of Russian President Vladimir Putin and 370 politicians and businessmen sanctioned by the EU.

Subscribe to RT t.me/rtnews
Hapo Putin atakuwa amepata target nyingine
 
Naona vikwazo vitainua hasira ya wananchi kwa putin. Ishu ya uchumi hakuna taifa laweza kuvumilia, hasa ktk mgogoro huu Ukraine.

Russia atazima vyombo vya habar vya ndani, ila hakika watu wake wameanza kuona joto la uchumi. Mambo yakienda hivi, mwezi ujao tutasikia mengi.

Mungu uturehemu watu wako, tumekosa sisi.
 
STRUGGLE MAN sijui atachangiaje hapa kwasabab ana residence ya uswis na pia ni pro kremlin.

Ila hii hatia za magharib kuzuia mali na asset za watu siyo vizuri. Watu wamepambana kutafuta hela na mali kwa nguvu, bidii na akili halafu ghafla tu unawapora.
Hata kuvamia nchi za watu sio vizuri. Wanaua raia wasiokuwa na hatia.

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 

Mzozo wa Urusi na Ukraine: Sheria tata ya Putin ya kutorudisha zaidi ya ndege 500 za kibiashara kwa nchi za Magharibi​

17 Machi 2022
avion


Urusi inalipiza dhidi ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi.
Rais Vladimir Putin alitia saini sheria Jumanne kuzuia makampuni ya kigeni yaliyokodisha ndege zao kutoka Urusi kuzichukua tena.
Uamuzi huo umekuja baada ya makampuni kadhaa kuitaka Moscow kurudisha ndege walizokodi, ikiwa ni sehemu ya vikwazo vilivyowekwa na nchi za Magharibi baada ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.
Na ni kwamba karibu 75% ya ndege zinazotumiwa na mashirika ya ndege ya Kirusi hukodishwa, kulingana na data rasmi, kwa jumla ya ndege 515 zenye thamani ya zaidi ya dola za Marekani milioni 10,000. 🤣🤣🤣
Hapo kwenye dola milioni 10,000/= sijaelewa. Ila ukiisoma habari yote inasema hayo mashirika yamepewa deadline ya kuchukua ndege zao, ikipita wanazizuia.
 
Huu mgogoro wa Urussi Ukrane utaifanya Dunia ibadilike sana.

Tuombee tu Urussi ashinde hii operation,mambo na mitazamo mingi sana itabadilika.
 
Back
Top Bottom