Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Mkuu naomba nifundishe hiyo formula aisee.wewe ni noumaaa
 
Hiyo haiwez kua kweli kwa mechi zote BT inaweza kwa baadhi tuu so muwe makini kwanza ni ngumu kutabiri droo kupitia system hii kingine Kushinda ni Bahati koz elimu hii ni ya MUNGU pekee ya kujua tukio lijalo BT naamin kuna kuna kitu MUNGU kaweka kwenye hesabu ambacho ukifumbua utajua mengi kazungumzia shufwa na witiri humo kuna maneno mazito
 
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri

Ila kuwa makini kijana, angalia Kanji asije akakuteka tu
 
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Mkuu hebu tuwekee orodha ya nyota na siku zinazotawaliwa na nyota hizo na maana yake ili wazee wa mkeka tumparue vizuri mhindi, halafu weka na formula ya draw!
 
Duuuuu walahi kidogo niweke laki ila nikaweka ten kwa uwoga

Ningeweka laki mana ake ningekula km million 3 ivi
Ningejiteka kwa siku mbili ivi nikale upape wa bahari mitaa ya ubalozini

Sio uku uswazi tunakutana na vinyesi tu
Kvp mkuu.mlaki game ya man u ule milioni...hmmm,hii chai...kwa odds zp
 
Back
Top Bottom