Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Hapo namba moja umeitoa wapi? Na hiyo 13 na hiyo 8 pia umeitoa wapi
 
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Kwa Chelsea namba 8 imetoka wapi?
 
Namba ya kitababu middlesbrough ni 13 na Arsenal 1.
MI=13+9=22+17=39
Ar=1+18=19+17=36
Sasa Leo ni tarehe 17 ni witiri tena ni tasa ila mwez ni wa nne shufwa. Tarehe ya Leo inawapendelea middlesbrogh ila mwez ni wa arsenal hivyo itakua draw na Wenger atatimuliwa rasmi. Haaa haa Ngoja mtabibu mkuu aje amalizie bwana. Hesabu Kama nimezielewa flani tatizo kujua siku na nyota inayotawala siku na madhara yake.
Ebu nielekeze hy 9 na 18 zimetoka wapi
 
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd

siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo

Chelsea man utd
16

Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri

C=3
M=13

C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30

Chelsea=27
Man utd =30

NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana


Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Nilielekeze namba 8 na moja zimetoka wapi
 
Back
Top Bottom