Tufundisheni hiyo formula jamaniNgoja na mimi nimtafutie target, nshapata formula!
Ntampururua kikamilifu...
Mkuu naomba nifundishe hiyo formula aisee.wewe ni noumaaaKuelekea Mechi ya chelsea na Man utd
siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo
Chelsea man utd
16
Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri
C=3
M=13
C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30
Chelsea=27
Man utd =30
NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana
Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Mkuu yan kwahuyu jamaa watu tutaweka hata million 2[emoji1] [emoji1] [emoji1] game haitabirik mkuu, Mi Nishawahi pigwa laki na ushirini sjawai rudia tena kuweka zaid ya 40
Mkuu sema jamaa awe tayari kutufundisha tufanye kweliHahahaha [emoji3] [emoji3] [emoji3] huu utajir wa umenipita mkuu
Mkuu sema jamaa awe tayari kutufundisha tufanye kweli
Mkuu kama hali itaenda hivi basi acha tu neema ishuke[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] lkn kumbuka ni utabiri
Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd
siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo
Chelsea man utd
16
Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri
C=3
M=13
C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30
Chelsea=27
Man utd =30
NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana
Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Mkuu hebu tuwekee orodha ya nyota na siku zinazotawaliwa na nyota hizo na maana yake ili wazee wa mkeka tumparue vizuri mhindi, halafu weka na formula ya draw!Kuelekea Mechi ya chelsea na Man utd
siku ya jumapili hutawaliwa na sayari ya jua na nyota yake ni ya simba,ilhali tarehe 16/04 hutawaliwa na nyota ya kondoo
Chelsea man utd
16
Mechi inachezwa tarehe 16 na namba 16 ni shufaa inagawanyika kwa mbili...Chelsea namba yake kitabibu ni 3,Man utd namba yake kitabibu ni 13,hivo chelsea na man utd wote wana namba witiri
C=3
M=13
C=3+8=11+16=27
M=13+1=14+16=30
Chelsea=27
Man utd =30
NB:Mechi hii Man utd atashinda sababu namba ya siku na tarehe na nyota inambeba na ndivyo inavyosema.tarehe 16 ni namba shufa na mwezi wa 4 pia ni shufa na mahesabu ya kitabibu yanaonyesha namba za Man utd zinaligana
Wekeni mzigo wa laki kesho uamke tajiri
Ntacheza na hii formula kwa gemu tatu, nkikwaruliwa itakuwa mwisho...[emoji1] [emoji1] [emoji1] game haitabirik mkuu, Mi Nishawahi pigwa laki na ushirini sjawai rudia tena kuweka zaid ya 40
We muache[emoji1] [emoji1] [emoji1] game haitabirik mkuu, Mi Nishawahi pigwa laki na ushirini sjawai rudia tena kuweka zaid ya 40
Kvp mkuu.mlaki game ya man u ule milioni...hmmm,hii chai...kwa odds zpDuuuuu walahi kidogo niweke laki ila nikaweka ten kwa uwoga
Ningeweka laki mana ake ningekula km million 3 ivi
Ningejiteka kwa siku mbili ivi nikale upape wa bahari mitaa ya ubalozini
Sio uku uswazi tunakutana na vinyesi tu