Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Tabiri na leo arsenal anatoka aje mm nitupie pesa au pm utabiri wa leo arsenal niweke mzigo wa maana
Namba ya kitababu middlesbrough ni 13 na Arsenal 1.
MI=13+9=22+17=39
Ar=1+18=19+17=36
Sasa Leo ni tarehe 17 ni witiri tena ni tasa ila mwez ni wa nne shufwa. Tarehe ya Leo inawapendelea middlesbrogh ila mwez ni wa arsenal hivyo itakua draw na Wenger atatimuliwa rasmi. Haaa haa Ngoja mtabibu mkuu aje amalizie bwana. Hesabu Kama nimezielewa flani tatizo kujua siku na nyota inayotawala siku na madhara yake.
 
Itabidi mkuu utufundishe na sisi jinsi ya kutabiri....maaana wengine muhindi katupiga mpaka tumeacha haka kamchezo
 
Huwez ukafanya fanya kuongeza namba Arsenal ale goli 2 bila?
 
Huyu jamaa Ni noma Kha hongera aesee nitabirie tu YANGA na simba nani atachukua ubingwa Mwaka huu
 
Kweli hapo kwenye nyota za siku ndo uenda napotea mimi
 
Kwa hyo kubadili kocha, kusajili nk hazina madhara kwenye matokeo? Ni nyota tu ama nyota zinatumika pale timu zinapofanana uwezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…