Utabibu;Namba na nyota zinasema Leo man utd anashinda ,wazee wa kubet piteni hapa

Hapo namba moja umeitoa wapi? Na hiyo 13 na hiyo 8 pia umeitoa wapi
 
Kwa Chelsea namba 8 imetoka wapi?
 
Ebu nielekeze hy 9 na 18 zimetoka wapi
 
Nilielekeze namba 8 na moja zimetoka wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…