Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
Una hoja, lakini wakati mwingine jitahidi kutumia alama za uandishi kama vile nukta (.), mkato (,), nukta pacha 🙂) n.k ili comment yako isomeke vizuri.Ukitaka kuharibu future ya taifa lolote duniani huna haja ya kutumia bunduki au mabomu ya maangamizi Cha kufanya chezea mfumo wa elimu na mwisho utakuja kuona matokeo yake miongo kadhaa ni ajabu unakutana na kijana kahitimu kidato Cha Nne na kupata Cheti alafu hajui kuandika Insha sasa unajiuliza alifaulu vipi?
Vinginevyo na wewe utaonekana ni sehemu ya zao la huko kuchezewa kwa mfumo wa elimu.
Siyo kwa ubaya lakini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app