Tetesi: Utabiri 1977: Waalimu wa UPE wanaenda kutengeneza Taifa la wajinga na sasa miaka 50 imepita. Je sisi tuna akili au sisi ni wajinga?

Una hoja, lakini wakati mwingine jitahidi kutumia alama za uandishi kama vile nukta (.), mkato (,), nukta pacha 🙂) n.k ili comment yako isomeke vizuri.

Vinginevyo na wewe utaonekana ni sehemu ya zao la huko kuchezewa kwa mfumo wa elimu.

Siyo kwa ubaya lakini mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu wa UPE waliosoma miaka minne
 
Je sisi ni wajinga au tuna akili?
mjinga /mʄiŋga/ :

1.Mtu asiyejua kitu au jambo fulani.

2.Tamko la dharau au tusi kwa anayechukuliwa kutojua kitu.


akili /akili/:

1.
Uwezo wa kuelewa na kujifunza mambo.

2.Uwezo wa kufikiri na kuamua kwa busara.

Source: https://en.bab.la › dictionary › swahili-english

Tukianza na wewe mtoa mada , mada yako na uwezo wako wa kuwasilisha, unahisi ni mjinga au una akili?????
 
Kwani elimu ya msingi lengo lake ni nini wakuu?

Kwa ninavyofahamu mimi elimu ya msingi ni K-3.
-Kusoma
  • Kuandika
  • Kuhesabu

Maarifa mengineyo utayapata hata JF. Tatizo ni watu hawajui pa kuyapata hayo maarifa.

Mfano bora ni Prof. Lwaitama.
 
Kunakitu umekionesha mkuu ila Hawa walimu wa sasa hivi nao ni zao la walimu wa upe.
Hivi ule wimbo wa Nay hasa kwenye mistari inayohusu elimu na wa somi kutokujihusisha na bahadhi ya mambo si inaeleweka vizuri ile.

Ila pia najiuliza, sijui ni kwasababu hatuna nguvu kubwa ya pesa
 
Umeandika togwa tu,walimu wa upe hawakuzalisha wanafunzi wasiojua hata lugha yao kwa kuandika na kuitamka,waliujua mtaala vizuri na walitoa zao murua,labda unadhani kiingereza ndiyo elimu,mtazamo ambao huakisi ujinga na uvivu wa kufikiri,hakuna div 1-3 toka shule za kata!?..hakuna division 3-0 shule za vipaji maalum na za binafsi zenye 'walimu wazuri'!?
 
Ni kweli 50 plus ni hao wezi
 
je sisi ni wajinga au ni sisi ni watu wenye akili?
 
Wajinga ni wengi kuliko walioelimika.
 
Taifa la wajinga limejaa Simba na yanga diamond na zuchu tu
 
Multiple choice
Multiple choice, bahati nasibu.
 
Hawa walimu wa sasa hivi nao ni zao la walimu wa upe.
Ndugu, wewe mwenyewe ni wa zao lipi???? Au mazao yanaangalia walimu????????Wahandisi, madaktari,waandishi wa habari, wanasheria, wahasibu, manesi, mafundi, wanasiasa n.k wao hawamo???????
 
Ndugu, wewe mwenyewe ni wa zao lipi???? Au mazao yanaangalia walimu????????Wahandisi, madaktari,waandishi wa habari, wanasheria, wahasibu, manesi, mafundi, wanasiasa n.k wao hawamo???????
Je sisi ni wajinga ama tuna akili mbona hamjibu swali langu
 
Hatimaye Bunge likaja na mpango wa UPE (Universal Primary Education) yaani wahitimu failure wa elimu ya msingi kwenda kuwafundisha wenzao.

Sio kweli miaka ya nyuma best grade seven leavers walikwenda ualimu. Mambo yalikuja kuharibika baadae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…