Mpumbavu: /m pumbavu/Je sisi ni wajinga ama tuna akili mbona hamjibu swali langu
I was there. Mimi nilimaliza darasa la saba 1976 so I know what I am talking about. Balaa ni kwamba hii siyo sera pekee ya Nyerere iliyofeli. Operation vijiji 1973-76. Kuua vyana vta ushirika 1980, vita ya Kagera 1978/79. Don't tell me that crap.Ndugu, unaweza kuthibitisha hiki???? Usifuate mkumbo, kama hujui kitu jaribu kuuliza,kudadisi na kujifunza!!!!!!!!!!!!!!
Wasomi walitabiri kuwa Tanzania ya wajinga inakuja je nikweli imekuja au haijakuja?wakati ule mwanafunI anakwenda sekondari kwa kuchaguliwa na sio ufaulu peke yake. Wapo waliokuwa na uwezo mkubwa lakini hawakuchaguliwa hivyo so haki kuwaita walimu wa upe ni failure wa darasa la Saba.
ukitaka kujua kama product ya wanafunzi ilikuwaje jitathimini wewe mwenyewe kwa umri uliotaja nahisi na wewe ni kundi Hilo.
elimu yetu iliharibiwa makusudi pale ulipoanza mpango wa kuchangia elimu bila kuandaa wananchi matokeo yake wazazi waliona Bora watoto wauze maandazi kuliko kulipia ada shuleni na ndicho kizazi Cha hovyo kuwahi kutokea.
lakini umekwepa kutaka walimu wa vodafasta wa awamu ya nne.
Je hili Taifa kina watu wenye akili Sasa hivi?I was there. Mimi nilimaliza darasa la saba 1976 so I know what I am talking about. Balaa ni kwamba hii siyo sera pekee ya Nyerere iliyofeli. Operation vijiji 1973-76. Kuua vyana vta ushirika 1980, vita ya Kagera 1978/79. Don't tell me that crap.
Ndugu, unaonekana mtu mzima kidogo na umeona mengi, unakubaliana kuwa walimu wa UPE hawakupata mafunzo yoyote kuhusu fani ya ualimu?????I was there. Mimi nilimaliza darasa la saba 1976 so I know what I am talking about.
Tatizo la waalimu wa upe ni Moja. Waalimu wa secondary Walikuwa na Masters na primary angalau degree ya ualimu. Wakati wa uhuru walimu wengi Walikuwa na diploma yaani form four na chuo Mika mitatu. Lakini wakati wa upe walimu walichukuliwa darasa la saba kwenda kufundisha shule ya msingi. Kumbuka masomo mengi ya sekondari yanakazia sana elimu ya msingi.Ndugu, unaonekana mtu mzima kidogo na umeona mengi, unakubaliana kuwa walimu wa UPE hawakupata mafunzo yoyote kuhusu fani ya ualimu?????
Yaani unakutwa kijiweni, nyumbani,mtaani,barabarani n.k halafu unaambiwa ukafundishe!!!!!!!! Je, ni kweli??????
Samahani kama nitakuwa nimekukera na kukukwaza.
Ndugu, jaribu kujifunza na kujielimisha ili siku nyingine ufiche ujinga wako. Kuficha ujinga ni hekima pia!!!!!!Tatizo la waalimu wa upe ni Moja. Waalimu wa secondary Walikuwa na Masters na primary angalau degree ya ualimu
Kinachoendelea katika sekta ya elimu anayekijua mi mwalimu aliyeko field na sio mtu mwingine, tatizo ni pale nyie ambao sio walim mnajivika ujuv wa mambo ya elimu ya nchi, ndio maana mnawalaumu na kuwaponda walimu huku mkiwa hata hamuelew ni kivipi walimu wamekoseaHivi mwalimu ambae hajui logarithm anaweza kumfundisha mwanafunzi ajue vizuri kabisa.
Mleta mada Ameuliza kama hiyo ndoto imetimia? Mi naona imetimia kwa yanayoendelea. Hii ni mada pana sana
Na ndio maana nikasema watu wanawalaumu walimu kwakuwa uelewa wao ni mdogoHiii mada ningewapa tips za kutosha sema wengi humu ni zao la UPE mtaanza kunishambulia tu bora nikae Kimya!
Bado hoja haijaeleweka kwako, je, unaamini mwanafunzi kuhitimu kidato cha nne akiwa hajui kuandika ni tatizo la mwalimu?Nlifundishwa na walimu wa UPE baonana naye 1 saiz ni mkuu wa shulu ya msingi nawakumbuka2 mmoja alishastaaf na meingine still ni mwalimu. Aliyestaf alinifundisha chekechea na darasa la kwanza na la pili.
Huyu alikuwa ni best teacher sijawahiona katika maisha yangu. Na katika walimu nlifurahi kufundisha nao toka nimeanza kusoma ni huyu mwalimu.
Wa 2 huyu bado inservice huyu yeye alinifundisha darasa la 3 hadi la 7 hesabu huyu naye ni kati ya walimu wazuri kupata kutokea katika maisha yangu.
Wapo wengine wa UPE walinifundisha ila siwezi wasemea kwa sababu walikuwa wa kawaida sana.
Walimu wa sasa hivi tunawaona wanatoa hadi vijanaa hawajui kusoma na kuandika wanafika hadi form4 ila zaman hueziona kitu kama hicho
Kweli mkuu,umeshirikisha kabisa ubongo wako kwenye hili?,std 7 aliyefeli mtihani kwenda F1,unampeleka pale Tandala TTC, course ya 90days then unampangia akafundishe hisabati pale Mpitimbi S/M!mkuu unaweza kufikiri zaidi ya hapa,elewa ilitakiwa mwenye Adv.Dipoloma au First Degree ndio wafundishe hizi primary schools ili msingi uwe imara kielimuUmeandika togwa tu,walimu wa upe hawakuzalisha wanafunzi wasiojua hata lugha yao kwa kuandika na kuitamka,waliujua mtaala vizuri na walitoa zao murua,labda unadhani kiingereza ndiyo elimu,mtazamo ambao huakisi ujinga na uvivu wa kufikiri,hakuna div 1-3 toka shule za kata!?..hakuna division 3-0 shule za vipaji maalum na za binafsi zenye 'walimu wazuri'!?
Wewe ni mjingaJe sisi ni wajinga ama tuna akili mbona hamjibu swali langu
Nyerere alikua mchawi kabisakumbe walishauliwa kuajili walimu kutoka UK na Kenya wakagoma[emoji144][emoji144][emoji144]
We ni mjinga sanaaa tena ndo wale mnaosain mkataba mbovu iv insha inasaidia nin kwenye jamii angalia hapo ulipokaa vitu vinavyokuzunguka, hiyo simu unatumia alaf mwisho jiambie bila kujua insha hivi vitu nisingeweza kuvitengeneza na kuviunda achen upambavu mnashadadia kujua kirai kitenzi sijui vivumishi vya nini iv mna viongozi waliosoma masomo ambayo hayana maendeleo kiteknolojia alaf mnasema kuna siku tutaendelea wala haiji kutokea kama hatutabadilika RIP MagufuliUkitaka kuharibu future ya taifa lolote duniani huna haja ya kutumia bunduki au mabomu ya maangamizi Cha kufanya chezea mfumo wa elimu na mwisho utakuja kuona matokeo yake miongo kadhaa ni ajabu unakutana na kijana kahitimu kidato Cha Nne na kupata Cheti alafu hajui kuandika Insha sasa unajiuliza alifaulu vipi?
Walifundisha,unadhani waliofeli mitihani ya la Saba 1970s-90s walikua hawawezi masomo!?..palikua na msemo 'kafaulu lakini hakuchaguliwa'..na Mara nyingi waliofaulu siyo wale waliokua na uwezo,palijaa ukiritimba,lakini hao walimu wa upe wanafunzi wao walikua imara kimasomo,hakuna aliyetoka darasa la pili kwenda la tatu na hajui kusoma,kuandika,kuhesabu,kujumlisha na kutoa,unasema wenye advance diploma/degrees wakafundishe primary...unadharau Sana level za elimu,hao wanatakiwa kufundisha a level na certificates vyuoniKweli mkuu,umeshirikisha kabisa ubongo wako kwenye hili?,std 7 aliyefeli mtihani kwenda F1,unampeleka pale Tandala TTC, course ya 90days then unampangia akafundishe hisabati pale Mpitimbi S/M!mkuu unaweza kufikiri zaidi ya hapa,elewa ilitakiwa mwenye Adv.Dipoloma au First Degree ndio wafundishe hizi primary schools ili msingi uwe imara kielimu
Kimtirirko na mimi pia ni wazao Iloilo ila Mimi nimefudnishwa na walimu ambao wamefundishwa na walimu waliosoma elimu ya upeNdugu, wewe mwenyewe ni wa zao lipi???? Au mazao yanaangalia walimu????????Wahandisi, madaktari,waandishi wa habari, wanasheria, wahasibu, manesi, mafundi, wanasiasa n.k wao hawamo???????