Kundi hili linaitwa Sukuma gangKuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi,
Litakuwa jambo jema Sana kwa ustawi wa demokrasiaKatiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kundi hili linaitwa Sukuma gangKuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi,
Litakuwa jambo jema Sana kwa ustawi wa demokrasiaKatiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
HayaNngeshangaa sana kama usingetia neno hapa.
Mtu akinywa mataputapu mara nyingi akilala anaota ndoto mbayambayaNdio hivyo, 2023 Itakua ngumu sana kwa wanazi wa CCM! Kuna ambao watakubali kubadilika Ili waendelee kula, Kuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi, Kuna Viongozi wa CCM watapandishwa Kwa Pilato.
Utakua mwaka wenye machungu sana kwa CCM na mara nyingi watajitokeza hadharani kukanusha jambo, Kwa bahati mbaya kukanusha huko kutazua taharuki zaidi kuliko kutuliza!
Zitaibuka scandals kadhaa zitakazowagusa Moja kwa Moja baadhi ya Mawaziri na familia zao.
Nawaona baadhi ya watendaji Kama DCs hasa enzi za Magufuli wakishtakiwa Kwa makosa waliyohatenda wakiwa Madarakani enzi za Magufuli.
Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
Happy New year 2023
Hahahahahaha tajiri yangu nimeikopi na kuipesti tu MkuuTajiri kumbe wewe mtabiri[emoji38][emoji38][emoji38]
Hahahahahaha 🤣maharage ya ukweni ya kweli haya mkuu? Maana wewe ndio mbashiri bora, mtabiri bora na mpiga ramli bora JF nzima, uliizungumzia ndege ajali na kweli ikawa je hili la bwana Elli litakua na ukweli au tusubiri utabiri mwingine?
Hahahahahaha Niko ibadaniFungua ofisi ya utabiri tujue moja.Hayo mengine ni ujinga tu.
Hahahahahaha tajiri yangu nimeikopi na kuipesti tu Mkuu
Ndio hivyo, 2023 Itakua ngumu sana kwa wanazi wa CCM! Kuna ambao watakubali kubadilika Ili waendelee kula, Kuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi, Kuna Viongozi wa CCM watapandishwa Kwa Pilato.
Utakua mwaka wenye machungu sana kwa CCM na mara nyingi watajitokeza hadharani kukanusha jambo, Kwa bahati mbaya kukanusha huko kutazua taharuki zaidi kuliko kutuliza!
Zitaibuka scandals kadhaa zitakazowagusa Moja kwa Moja baadhi ya Mawaziri na familia zao.
Nawaona baadhi ya watendaji Kama DCs hasa enzi za Magufuli wakishtakiwa Kwa makosa waliyohatenda wakiwa Madarakani enzi za Magufuli.
Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
Happy New year 2023
Sijawahi kuwa na mwaka mgumu Ndugu Yangu, God is always good!
Ndoto za alinacha. Utakuwa mgumu kwako CCM ni km mlima Kilimanjaro usiifananishe na we kichuguuNdio hivyo, 2023 Itakua ngumu sana kwa wanazi wa CCM! Kuna ambao watakubali kubadilika Ili waendelee kula, Kuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi, Kuna Viongozi wa CCM watapandishwa Kwa Pilato.
Utakua mwaka wenye machungu sana kwa CCM na mara nyingi watajitokeza hadharani kukanusha jambo, Kwa bahati mbaya kukanusha huko kutazua taharuki zaidi kuliko kutuliza!
Zitaibuka scandals kadhaa zitakazowagusa Moja kwa Moja baadhi ya Mawaziri na familia zao.
Nawaona baadhi ya watendaji Kama DCs hasa enzi za Magufuli wakishtakiwa Kwa makosa waliyohatenda wakiwa Madarakani enzi za Magufuli.
Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
Happy New year 2023
Mbona hasira zote hizi?Ndoto za alinacha. Utakuwa mgumu kwako CCM ni km mlima Kilimanjaro usiifananishe na we kichuguu
Sheikh Mimi mwenyewe MgeniMtu mwenye „ God is always good“ anapataje mawazo ya „ God is not always good“.
Tawile MgangaNdio hivyo, 2023 Itakua ngumu sana kwa wanazi wa CCM! Kuna ambao watakubali kubadilika Ili waendelee kula, Kuna kundi litaibuka kimya kimya likijiandaa kuweka mizizi, Kuna Viongozi wa CCM watapandishwa Kwa Pilato.
Utakua mwaka wenye machungu sana kwa CCM na mara nyingi watajitokeza hadharani kukanusha jambo, Kwa bahati mbaya kukanusha huko kutazua taharuki zaidi kuliko kutuliza!
Zitaibuka scandals kadhaa zitakazowagusa Moja kwa Moja baadhi ya Mawaziri na familia zao.
Nawaona baadhi ya watendaji Kama DCs hasa enzi za Magufuli wakishtakiwa Kwa makosa waliyohatenda wakiwa Madarakani enzi za Magufuli.
Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi Itakua mwiba sana kwa CCM.
Happy New year 2023