Pre GE2025 Utabiri: 2025 CHADEMA kushinda Uchaguzi Mkuu

Pre GE2025 Utabiri: 2025 CHADEMA kushinda Uchaguzi Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Habari ni kwamba nguvu iliyopo na ushawishi ndani ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA nikubwa na yakushangaza vijana wengi wanaunga mkono chama hicho pamoja na mawakili wengi tanzania ambao wengi wao niwanaharakati , wapiga kura kumbukeni siyo wazee ni vijana ambao wamemaliza vyuo hawana kazi, n.k. nimepita kila kijiwe naona kila kijana anaitaja chadema huku wazee wa ccm kwenye vijiwe vya kahawa kwa kuambiwa ccm imegeuka genge la wahuni! Mwenyekiti anaamua nani awe kiongozi tofauti kabisa na katiba ya chama , mijadala mikubwa imeibuka na kusema kuwa ccm imefikia hatua viongozi wa juu kabisa wanaamulia wananchi wa kuwaongoza! Wengine wameibuka nakusema hii nchi siyo kundi la wachache wenye vyeo ndani ya ccm na serikali.
 
Huu ni Uongo na haitatokea kwa 2025 labda miaka ijayo
 
Kushinda kitashinda, ila kinaweza kisitangazwe.

Wewe unazungumzia kushinda tu uchaguzi ama kutangazwa na kuchukua nchi?

Hivi ni vitu viwili tofauti.
 
Kushinda kitashinda, ila kinaweza kisitangazwe.

Wewe unazungumzia kushinda tu uchaguzi ama kutangazwa na kuchukua nchi?

Hivi ni vitu viwili tofauti.
Ccm mwaka huu itapata shida sana ! Mgombea wao hauziki na pia kuna kitu kinaitwa kule chadema no reform no election 😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom