Utabiri: ARSENAL atashinda dhidi ya CHELSEA leo

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,501
Reaction score
28,711
Namba hazidanganyi

Leo ni tar 6/8

Ars 1+18+19=38+6= 44

Che 3+8+5=16+6=22

Hii mechi Arsenal ndio mwenye nafasi kubwa ya kushinda , namba zake ni kubwa zaid ya chelsea ,pia ni shufwa japo wote ni shufwa ,

Hivo Arsenal anaendana na tarehe ya leo tar 6

HIVO NAMPA NAFASI ARSENAL YA KUSHINDA HII MECHI, tukutane baadae hapa jukwaani
 
Hebu ddavua vyema hiyo kanuni kwann uchukue herufi 3 za mwanzo? Je mmoja namba yake ingekuwa witiri ingekuwaje?
 
Hebu ddavua vyema hiyo kanuni kwann uchukue herufi 3 za mwanzo? Je mmoja namba yake ingekuwa witiri ingekuwaje?
Ningeishia hapo hapo nakufanya conclusion
 
Hebu ddavua vyema hiyo kanuni kwann uchukue herufi 3 za mwanzo? Je mmoja namba yake ingekuwa witiri ingekuwaje?
Ningeishia hapo hapo nakufanya conclusion
 
Napata mashaka sana kama hii gemu tutashinda leo.
Nime bahatika kuangalia mechi zote za pre-season, kiukweli Arsenal tuna tatizo kubwa sana eneo la kiungo na defence.
Bila kuya- address haya maeneo timu kubwa zitachukua point tatu kwetu bila upinzani.
we need a Santi Cazorla esque player pale kwenye midfield Ramsey ni mzigo.
na defender mmoja anae eleweka sio kumjaribu Elneny kama alivyo fanya.
Per umri umeenda na yupo slow kuliko kobe.

Kwa namna chelsea walivyo jiimarisha kwenye usajili na namna walivyo organized ushindi ni asilimia 30 tu.
Ikitokea tume wafunga basi ni yale ya mpira ni dakika 90.
 
Huo Ndio unaitwa u kale chambua vikosi vyote kiufundi na uje na conclusion,! Mambo ya Sangoma hayana nafasi katika soka ni ujinga na kujidanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ulozi hapo ,ni NGUVU NA KUCHEZA NA NAMBA ,HATA MUNGU HUTUMIA NAMBA

SHETANI PIA HUTUMIA NAMBA
 
Huo Ndio unaitwa u kale chambua vikosi vyote kiufundi na uje na conclusion,! Mambo ya Sangoma hayana nafasi katika soka ni ujinga na kujidanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ulozi hapo ,ni NGUVU NA KUCHEZA NA NAMBA ,HATA MUNGU HUTUMIA NAMBA

SHETANI PIA HUTUMIA NAMBA
 
wewe si mshabiki wa arsenal
 
Hakuna ulozi hapo ,ni NGUVU NA KUCHEZA NA NAMBA ,HATA MUNGU HUTUMIA NAMBA

SHETANI PIA HUTUMIA NAMBA
Mfano kombe la dunia namba zina favor mataifa ya ulaya na america tu basi? Kwa nini tangu kuanzishwa kombe la dunia namba hazijawahi Ku favor Africa au Asia wakafika Hata nusu fainali au fainali sembuse kuchukua ubingwa?
Maandalizi Ndio siri ya mafanikio sio hizo namba na sangoma zako
Uwe na jumapili njema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Ars vs Chel na sio Arse vs Chels au Arsenal vs Chelsea? Any science behind it?
 
Muda ni mwalimu mzuri

Njooni baadae mseme mimi ni mchawi

Ni namba tu jamani

Kwenye namba kuna utajiri hadi wamaisha yako

JIULIZE

KWANINI MUNGU alileta mapigo 10 kwa wamisri?na sio mawili au nane?

Kwanini Yesu alifunga siku 40?

Kwanini muhamad s.w.a. alianza utume na miaka 40?

Kwanini Mungu afanye kazi siku 6 ya saba apumzike?
Why achague namba 7?

NAMBA ZINA MAANA NA ZINA UNGANA NA REAL LIFE KIMWILI NA KIROHO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…