Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Namba hazidanganyi
Leo ni tar 6/8
Ars 1+18+19=38+6= 44
Che 3+8+5=16+6=22
Hii mechi Arsenal ndio mwenye nafasi kubwa ya kushinda , namba zake ni kubwa zaid ya chelsea ,pia ni shufwa japo wote ni shufwa ,
Hivo Arsenal anaendana na tarehe ya leo tar 6
HIVO NAMPA NAFASI ARSENAL YA KUSHINDA HII MECHI, tukutane baadae hapa jukwaani
Leo ni tar 6/8
Ars 1+18+19=38+6= 44
Che 3+8+5=16+6=22
Hii mechi Arsenal ndio mwenye nafasi kubwa ya kushinda , namba zake ni kubwa zaid ya chelsea ,pia ni shufwa japo wote ni shufwa ,
Hivo Arsenal anaendana na tarehe ya leo tar 6
HIVO NAMPA NAFASI ARSENAL YA KUSHINDA HII MECHI, tukutane baadae hapa jukwaani