Utabiri - Barcelona haitatwaa ubingwa wowote msimu huu

asante kwa uchambuzi makini mkuu , arsenal imedrop mpaka nafasi ya 4 , niliwahi kuandika kwenye tovuti ya arsenal kama 2 years back kwamba arsenal haiwezi kutwaa ubingwa wa ligi kuu under Arsene Wenger na ndio kinachotokea .
 
asante kwa uchambuzi makini mkuu , arsenal imedrop mpaka nafasi ya 4 , niliwahi kuandika kwenye tovuti ya arsenal kama 2 years back kwamba arsenal haiwezi kutwaa ubingwa wa ligi kuu under Arsene Wenger na ndio kinachotokea .
Mhhh sorry hv mwaka 2003/2004 wakati arsenal wanachukua ubingwa Wenger alikuwa bado hajaenda arsenal?
 
Mhhh sorry hv mwaka 2003/2004 wakati arsenal wanachukua ubingwa Wenger alikuwa bado hajaenda arsenal?
nisamehe mkuu , nililenga kuandika kwamba hawatatwaa tena ubingwa chini ya arsene wenger , natambua kwamba walishachukua ubingwa chini yake .
 
asante kwa uchambuzi makini mkuu , arsenal imedrop mpaka nafasi ya 4 , niliwahi kuandika kwenye tovuti ya arsenal kama 2 years back kwamba arsenal haiwezi kutwaa ubingwa wa ligi kuu under Arsene Wenger na ndio kinachotokea .
Hata bila wewe kuandika mimi nilishajua hilo miaka 10 iliyopita kabla hata ya kuitwa Arse8. Kingine EPL haiwez twaa Uefa hata kwa miaka 10 inayo
 
Hahaha tupe maoni mengine mkuu
 
Hata bila wewe kuandika mimi nilishajua hilo miaka 10 iliyopita kabla hata ya kuitwa Arse8. Kingine EPL haiwez twaa Uefa hata kwa miaka 10 inayo
Hapa ndipo kila MTU anakushangaa ulituambia barca akitolewa na atletico upigwe ban , man city akichukua uefa tutakachofanya ni kila ukiandika humu tunakuwekea maneno yako ili tuendelee kukuenjoy kumbuka soka sio mawazo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…