Utabiri - Barcelona haitatwaa ubingwa wowote msimu huu

Utabiri - Barcelona haitatwaa ubingwa wowote msimu huu

Baada ya kutamba kwa kipindi kirefu kwenye soka la vilabu duniani hatimaye barcelona imeishiwa pumzi .

dalili za pumzi kukata zilianza kujionyesha pale walipohenyeshwa na timu mbovu na isiyo na mkakati wowote ya Arsenal kwenye ligi ya mabingwa ( hata kama walishinda ).

ukweli ulijidhihirisha katika ELCLASSICO walipopigwa nyumbani na wachezaji kumi tu wa Real Madrid na jana wameangukia tena pua kwa kibonde Real Sociedad na hivyo kuongoza ligi kwa tofauti ya point 3 tu !

Kuporomoka huku ni dalili ya kuanza safari mpya ya kuwa Timu Mdebwedo.

Kwaheri Barca , maisha ndio yalivyo .
Tukutane msimu ujaoo
 
Baada ya kutamba kwa kipindi kirefu kwenye soka la vilabu duniani hatimaye barcelona imeishiwa pumzi .

dalili za pumzi kukata zilianza kujionyesha pale walipohenyeshwa na timu mbovu na isiyo na mkakati wowote ya Arsenal kwenye ligi ya mabingwa ( hata kama walishinda ).

ukweli ulijidhihirisha katika ELCLASSICO walipopigwa nyumbani na wachezaji kumi tu wa Real Madrid na jana wameangukia tena pua kwa kibonde Real Sociedad na hivyo kuongoza ligi kwa tofauti ya point 3 tu !

Kuporomoka huku ni dalili ya kuanza safari mpya ya kuwa Timu Mdebwedo.

Kwaheri Barca , maisha ndio yalivyo .
Wenye mtizamo wa lowassa chalii
 
Back
Top Bottom