Utabiri - Barcelona haitatwaa ubingwa wowote msimu huu

Utabiri - Barcelona haitatwaa ubingwa wowote msimu huu

Ubingwa wa League sasa ni open. Vipigo viwili mfululizo sasa vimewarudisha Real Madrid kwenye game. Ila Barcelona wataambulia angalau kombe moja (Copa de rey..)
Kwaio laliga barca watakosa..?duuu pole kwa barca [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ulisahau la liga anashindaga mwenyew daily
HAHAHAA MPAKA HUKU UNAINGIA EEE
_DSC6678-Optimized.v1463249700.JPG
2203f6b58fbfaf3477f50ef3032cad1d.jpg
13221693_1006509082773558_2600598101493950084_n.jpg
13237746_1223108154390854_6183518253320545066_n.jpg
13243976_10209822727989681_1115651484851482470_o.jpg
1463251283741.jpg
Barca.jpg
LE_BLOG_DU_BARCA_GAGNER_CETTE_LIGA_A_DONC_DE_LA_VALEUR.jpg
 

Attachments

  • resize (1).jpg
    resize (1).jpg
    27.2 KB · Views: 32
  • resize.jpg
    resize.jpg
    47.9 KB · Views: 29
....ungejua baada ya utabiri wako zitafuata goli 24,kwenye mechi 5, halafu bila kuruhusu hata goli moja!, ungejificha ndani miezi sita!!
 
Aliitabilia Madrid ambayo inaweza isichukue kombe lolote mwaka huu kwa mara ya pili mfululuzo. Sisi tutaondoka na makombe mawili. Tumepungukiwa kimoja tu from last season
 
Utabiri ni kama kamari , unaweza ukaliwa au Ukala , ila inahitaji ujasiri wa hali ya juu .
 
Back
Top Bottom