UTABIRI: BENCHIKHA hatakula Krismas hapo msimbazi, atajiuzuru ghafla na kuondoka kuelekea kwao kabla ya 25 Dec 2024

UTABIRI: BENCHIKHA hatakula Krismas hapo msimbazi, atajiuzuru ghafla na kuondoka kuelekea kwao kabla ya 25 Dec 2024

Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.

Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.

Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.

Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
25 december mbina mbali sana? huyo pasaka inamkta kwao. timu itongozwa na Mgunda kumalizia msimu. wekeni hii comment
 
Ushakunywa supu ya kibudu unaropokwa tu
Screenshot_2023-12-28-18-49-06-18.jpg
 
Jamaa anachafua tu Cv yake Anatamani hata angetua Jangwani

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Nasikia aligoma kujiunga na jangwani sababu mambo ya kulala makaburi na kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta +ushindi wa BAHASHA hayawezi..

Akaona heri ajiunge na MNYAMA.
 
Tulieni kocha afanye kazi yake. Kama wachezaji hawamuelewi yeye kama kocha anawajibu wa kupendekeza wachezaji wapya katika usajili na kutoa hao wazito.

Kama uongozi hautaweza ni haki yake kusepa. Duniani kote ndo kazi za makocha zilivyo.
 
Jangwani akafanye nini!??

Nyie watu mnapenda sana kuzusha na kujimwambafai.

Bnechika yupo yupo sana

Kale kauzushi kenu kuwa " Simba wanashinda Lakini hawana furaha" Sasa mmekaacha mmekuja na Benchika hana furaha.
Kwa kweli bado yupo yupo sana
 
Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.

Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.

Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.

Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
Bravo.
 
Back
Top Bottom