Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikukuu ya mbumbumbu [emoji23][emoji23]December mbona mbali sana, huyu mpaka sikukuu ya wajinga hatunae.
Watakuwa washamtimua mbumbumbu waoSikukuu ya mbumbumbu [emoji23][emoji23]
25 december mbina mbali sana? huyo pasaka inamkta kwao. timu itongozwa na Mgunda kumalizia msimu. wekeni hii commentBenchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.
Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.
Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.
Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
ushabiki utakuua weweJamaa anachafua tu Cv yake Anatamani hata angetua Jangwani
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Nasikia aligoma kujiunga na jangwani sababu mambo ya kulala makaburi na kuingia uwanjani kwa kuruka ukuta +ushindi wa BAHASHA hayawezi..Jamaa anachafua tu Cv yake Anatamani hata angetua Jangwani
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Vipi Bado unamkatalia jamaa!??Ushakunywa supu ya bure...
Mdogo wake mwasibu unaionaje supuUshakunywa supu ya bure...
[emoji116]Haya sasa wana simba mnasemaje?
Uko sawa25 december mbina mbali sana? huyo pasaka inamkta kwao. timu itongozwa na Mgunda kumalizia msimu. wekeni hii comment
Bado hutaki kujadiliana nae?Ungekuwa ni Mzee Sunday Manara au Kikwete labda tungeanza kujadiliana...😝😝😝
Kwa kweli bado yupo yupo sanaJangwani akafanye nini!??
Nyie watu mnapenda sana kuzusha na kujimwambafai.
Bnechika yupo yupo sana
Kale kauzushi kenu kuwa " Simba wanashinda Lakini hawana furaha" Sasa mmekaacha mmekuja na Benchika hana furaha.
Bravo.Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.
Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.
Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.
Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.