Utabiri: Bingwa wa Uefa Champions League msimu huu atakuwa Man City

Utabiri: Bingwa wa Uefa Champions League msimu huu atakuwa Man City

f713981e-8fc9-48d3-b00c-40f3d5c79d3c.jpg
 
Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.

Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1

Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.

Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Bernabeu ulisema 1-1 ✅✅ tumekubali
Tunasubiria Etihad
 
Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.

Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1

Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.

Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
aisee
 
Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.

Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1

Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.

Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Dah!....huu utabiri utatimia nini ?...🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom