Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
HT 1-0Leo mechi itaisha kwa Real Madrid 0-2 Man city
Second leg
Man city 5-1 Real Madrid
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HT 1-0Leo mechi itaisha kwa Real Madrid 0-2 Man city
Second leg
Man city 5-1 Real Madrid
🤣🤣Real Madrid wachovu
Kujua mpira ukubwani bana
Sio uchawi bali ni ujinga wao wenyewe, mpira wao wa pssi pasi nyingi inampa afueni Madrid. Yaani pasi pasi hadi golini, bora hata wangekuwa wana shambulia kwa kasi angalau lakini wapi.Uchawi upooo, city possession 74 afu Bado wamekalia msumaliii. Vinicius Jr falaa sana.
🤣🤣Madrid own UCL
Ngoja tuoneTuko hapaaa.
UEFA yao
EPL yao
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji91]
Man City sio Chelsea 🤣🖐️Madrid own UCL
Ngoja tuoneMan City sio Chelsea [emoji1787][emoji2772]
1-1 ‘75Jamani ngapi hukoo!??
Daah nakosa uhondo sana aisee1-1 ‘75
Bernabeu ulisema 1-1 ✅✅ tumekubaliPep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
aiseePep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Dah!....huu utabiri utatimia nini ?...🤔🤔🤔Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.