Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kamtoa?Timiza ahadi mkuu
we kenge njoo tena useme ugonjwa ninaoumwaWee unaUNAUMWA nini
Bado unakataa Madris sio wabovu? Sasa kwanini wapigwe 4-0City itatolewa sababu ya Dharau, Ikacheze mpira ikijua inacheza na timu Bora Europe.
Ila sababu ya kuwa Madrid ni wabovu, sasa walifikaje hapo ?
Haya tupo hapa, ngoja tusubiri hizo dakika 180.
SAMALEKO OSTADHIMan cty Hana uwezo wakumfunga Madrid hata Madrid wachezee pungufuu ..
Muda utaongeaa ...
Ndio narudia kusema ni mchovu, bingwa mtetezi anapigwaje 4-0Hajui mpira uyo Bingwa mtetezi,
Bingwa wenye makombe mengi zaidi
Afu useme ni mchovu[emoji1]
Man City 4-0 Madris na hakuna timu pungufuMan cty Hana uwezo wakumfunga Madrid hata Madrid wachezee pungufuu ..
Muda utaongeaa ...
Tunawangoja😂😂WACHAMBUZI UCHWARA WAMEPOTEANA
hamna team paleHui ndio ukweli ambao tangu mwanzo wafia timu walikuwa wanaukwepa. Wanadhani historia itawabeba kila siku
wameona ball wamejifunzaNasikia Benzema amepiga hatrick
Wamekula foo oklokulinapokuja suala la uefa, hao madread wanakuwa sio wale wa laliga
Hukumuelewa, kasema madrid akimtoa city ndio ataachaTimiza ahadi mkuu
Tatizo watu wamekariri maisha, wale wazee wa 'Hala Madrid' huwaambii kitu kabisa na Madrid yao. Sasa wame'hala' mpaka wameharisha.Njoo tena ukomment kenge wewe
sio poaWamekula foo okloku
Marumo kala 4-1 na Madrid kala 4-1, kwa maoni yangu bora wajiunge wacheze na yangaMadrid Katia aibu sana Bora marumo
Wacha makasiriko...we kenge njoo tena useme ugonjwa ninaoumwa
Leo tunaenda kubeba ndoo ya UCL wakati hao Madrid wapo watakuwa wanaangalia fainali pengine wakiwa likizoYaani Real Madrid waamue "sasa tunalitaka hili kombe" kuna kenge yoyote atakatiza mbele?