Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja makolo waje wakiongozwa na OKW BOBAN SUNZU waje kutema mapovu yao
Walaani tu ila sina nia mbaya jmnNgoja waje.
Utalaaniwa wewe hadi mabibi zako.
😆😆😆😆😆😆😆
Thitaki mathuthi mimi kwandha thijaposthi ili kukomoa thimu ya muthuthatha hume hihonoje thimbwaa?
au hunatafuta hugomvi na matuthi?
Huenda akapita ila angalia sanaTumefika tayari, Mtoa Mada Hana akili Mnyama Simba anapita tena mapema sana Game ya 4 Tu tumeshafunga Mahesabu.
ThanksUtabiri mzuri sana
Mshamba kaingia mjini basi fujo tupu. Tunajua mu wageni wa group stage ila basi fanyeni fujo za kijanja mkikumbuka nyie sio tu vibonde wa kundi bali ni vibonde wa makundi yoteNgoja makolo waje wakiongozwa na OKW BOBAN SUNZU waje kutema mapovu yao
thawa kama humehamua hivoThitaki mathuthi mimi kwandha thijaposthi ili kukomoa thimu ya muthu
Ahaaaa,roho inakuumaaa,Mshamba kaingia mjini basi fujo tupu. Tunajua mu wageni wa group stage ila basi fanyeni fujo za kijanja mkikumbuka nyie sio tu vibonde wa kundi bali ni vibonde wa makundi yote
Ngoja nitunze hii kakaMshamba kaingia mjini basi fujo tupu. Tunajua mu wageni wa group stage ila basi fanyeni fujo za kijanja mkikumbuka nyie sio tu vibonde wa kundi bali ni vibonde wa makundi yote
🤣🤣🤣Umekazana hujawahi kufeli hapo hapo unasema sio lazima iwe hivyo...
Hata sikushangai ukinambia niweke yangu na mimi nita wa Exclude Utopolo first round tuu hawapo...
Simba na yanga wote wanaenda robo fainaliUmekazana hujawahi kufeli hapo hapo unasema sio lazima iwe hivyo...
Hata sikushangai ukinambia niweke yangu na mimi nita wa Exclude Utopolo first round tuu hawapo...
Hahahaaaa sawaSimba na yanga wote wanaenda robo fainali
Mama samia akianza kuweka zile pesa zake ataliwa sana pesa zake watu watakuwa wanapiga goli nyingi nyingi kwa mkapa hatoki mtu na saiv kumetengenezwa kama ulaya vile sasa ivi mashabiki tunatakiwa tuandae vitochi vyetu tu vile vya kijani🤣🤣Hahahaaaa sawa