Utabiri: Hat-trick Ya Fiston Kalala Mayele Kwenye Derby Ya Kariakoo 2021/2022

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari,

Zikiwa zimebaki siku 50 Ifike tarehe ambayo tutashuhudia derby ya Kariakoo nchini kati ya Young Africans na Simba SC basi naweka mapema kabisa mambo yatakayotokea siku hiyo.

Niwakumbushe kwanza ni miaka imepita sasa hatujashuhudia hat-trick kwenye mchezo huu wa jadi ila mshambuliaji hatari Fiston Kalala Mayele ataibuka na magoli yake matatu mbele ya wapinzani wake Simba SC.

Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu.


 
Niwakumbushe kwanza ni miaka imepita sasa hatujashuhudia hat-trick kwenye mchezo huu wa jadi
Sio kwamba hatujawahi kushuhudia kwa miaka mingi, sema Yanga haijawahi kupata hat-trick katika derby maishani mwake, ila yenyewe iliwahi kupigwa hat trick katika ushindi wa Simba wa 6-0 dhidi ya Yanga. Pia Mayele hajawahi kupata hat-trick popote pale alipocheza maishani mwake, kwa hiyo labda hiyo ndio iwe ya kwanza kwa Mayele na Yanga. Katika ligi ya Bara, mara ya mwisho Simba kufungwa goli 3 ni pale ilipokuwa Simba 4 Yanga 3, lakini Yanga kufungwa goli 6, 5, 4, 3 imekuwa ni kawaida
 
Amka fala wewe bado unaota.
 
Mayele hata kwenye Mapinduzi hakufunga hat trick Sasa kwa Manula sijui itakuwaje
 
Ata Simba kuanzia viongozi, wachezaji na mashabiki wanajua mechi na Yanga hii wanakazi kubwa ya kufanya kuliko Ile sare waliyo shangilia ya mzunguko wa kwanza.
Ni ngumu sana kupata sare.
 
Sio mbaya ni maandalizi mazuri kuelekea april fool
 
Yani hata mkiitwa mazuzu Ni haki kabisa.

Mayele ashindwe kuwafunga Geita hat trick badala yake aje kuifunga Simba.

Kilicho maarufu kwake ni staili ya kushangilia tu. Mayele ni wa kawaida sana.

Tangu mayelle acheze mpira hajawahi kufunga hat trick, Simba ndiyo yenye historia ya kuifunga Yanga hat trick to ushindi wake wa goli 6.
 
Hapa ndipo ule usemi wa Manara (msukule) kwamba Kule usukuleni mwenye akili ni Sunday Manara na mzee Kikwete tu unapojidhihirisha . Mayele huyu aliyeomba kutoka nje mwenyewe kwenye derby iliyopita baada ya kushupaliwa kwa nyuma na Onyango au kuna mayele mwingine?
 
Huyu Mayele si ndio alikabwa na Varane pamoja na mzee Onyango mpaka akatolewa au ni Mayele mwingie?
 
Nakuunga mkono mkuu, Huyu jamaa ni Fundi sana aise.
 
Kwa taarifa tu kocha wa yanga amehudhuria mechi nyingi za simba kuliko abdallah try again anakuja kuangalia nn mechi za simba mi sijui sasa utopolo endeleeni na ujuha wenu huo wakudanganyana kwamba mnaiweza simba .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…