Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari,
Zikiwa zimebaki siku 50 Ifike tarehe ambayo tutashuhudia derby ya Kariakoo nchini kati ya Young Africans na Simba SC basi naweka mapema kabisa mambo yatakayotokea siku hiyo.
Niwakumbushe kwanza ni miaka imepita sasa hatujashuhudia hat-trick kwenye mchezo huu wa jadi ila mshambuliaji hatari Fiston Kalala Mayele ataibuka na magoli yake matatu mbele ya wapinzani wake Simba SC.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Zikiwa zimebaki siku 50 Ifike tarehe ambayo tutashuhudia derby ya Kariakoo nchini kati ya Young Africans na Simba SC basi naweka mapema kabisa mambo yatakayotokea siku hiyo.
Niwakumbushe kwanza ni miaka imepita sasa hatujashuhudia hat-trick kwenye mchezo huu wa jadi ila mshambuliaji hatari Fiston Kalala Mayele ataibuka na magoli yake matatu mbele ya wapinzani wake Simba SC.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.