Utabiri: kirefu cha EP mpya ya Diamond ni Father of All

Utabiri: kirefu cha EP mpya ya Diamond ni Father of All

Hahahaa watanzania mtachelewa sana kuendelea, ingekuwa swala ni kutumia uchawi na majini tu tungekuwa na millionaires wengi sana.

Nikwambie tu, leo hii mimi na wewe hata tukipewa uchawi na majini sawasawa bila kuzidiana kitu, bado tu kimafanikio lazima tutapishana.
MOND anakitu extra ndomaana anawazidi wengi.

Halafu hii zana ya kuona matambiko kama ni dhambi kwakua tunaabudu mzimu ni utumwa tu, haina tofauti na nyinyi mnaoabudu mzimu ya kizungu isiyowatambua.
Diamond ana roga, hatambiki
 
Hello wakuu Mimi si greater Thinker kama wadau wengine ila katika pita pita zangu mitandao nimekutana na habari kuwa Msanii wa kibongo Diamond Platinumz alitaka kudondosha EP yake siku za nyuma kidogo (ilikuwa kama Tarehe 4march).

Lakini alitoa taarifa ya kusogeza mbele uzinduzi wa EP hiyo. Ila mtandao pameandikwa jina la ep hiyo ni FOA na kifupisho hicho bado hajatoa kirefu chake na watu wengi kuanza kuongeza maneno mengi Kuhusu kirefu hicho.

Wengine wakiweka wazi kuwa ni code zilizo fichwa yaa Freemasonr of Africa

Ila binafsi nimetabiri kirefu cha EP hiyo itakuwa Father of All lakini pia inawekewa akaongeza kionjo cha Artist ikibidi itakuwa Father of All Artists
Je, kwa nini nimewaza hivi? Hii ni Sababu Msanii huyo hupenda kujiita Baba lao na ndio maana kaamua kuja na EP yake kwa jina hilo la Baba lao (Father of All) yaani FOA.
Hii nikwamujibu wa utabiri Wangu.
EP manaake nini?
 
Moja Kati ya kitu ambacho msanii wa diamond anafanikiwa ni pamoja na namna anavyofanya promotion za kazi zake hilo neno la FOA limekuwa maarufu sana mitandaoni kama atajiongeza zaidi angejaribu kuuza tisheti za hizo code ya Hilo neno la EP yake angepata faida kubwa sana
#FRIENDS OF ARSENAL
Screenshot_20220306-154641.png
 
Yani hiyo F, hiyo O pamoja na hiyo A ina mambo mengi kwanini watu wajidai kuitabiria wakati yeye muda ukifika anaweza kuulizwa na akatoa jibu sahihi? Labda wako exited sana sijui waangalie wasije kuanza hadi kumuambia atunge nyimbo na kuipa jina flani. Kwa mfano kwa hiyo F tu yapo mambo kibao Fear, Fake, Fool, Fan, Fat, Friend, Fire, na maneno mengine kibao,leo mtu anatokeza huku na kuweka utabiri wake paap! labda yuko huko HQ. All in all tusubiri muda muafaka ufike tutajua maana halisi na sababu ya kuiita hivyo
 
Yani hiyo F, hiyo O pamoja na hiyo A ina mambo mengi kwanini watu wajidai kuitabiria wakati yeye muda ukifika anaweza kuulizwa na akatoa jibu sahihi? Labda wako exited sana sijui waangalie wasije kuanza hadi kumuambia atunge nyimbo na kuipa jina flani. Kwa mfano kwa hiyo F tu yapo mambo kibao Fear, Fake, Fool, Fan, Fat, Friend, Fire, na maneno mengine kibao,leo mtu anatokeza huku na kuweka utabiri wake paap! labda yuko huko HQ. All in all tusubiri muda muafaka ufike tutajua maana halisi na sababu ya kuiita hivyo
Kweli ngoja tusubiri muda ndio uongee
 
😂😂😂😂😂vipi mkuu ulishaenda ile safari yako ya kulimwagia jua maji?? Nimecheka sana ulivyoanza eti mimi sio great thinker!!
Hello wakuu Mimi si greater Thinker kama wadau wengine ila katika pita pita zangu mitandao nimekutana na habari kuwa Msanii wa kibongo Diamond Platinumz alitaka kudondosha EP yake siku za nyuma kidogo (ilikuwa kama Tarehe 4march).

Lakini alitoa taarifa ya kusogeza mbele uzinduzi wa EP hiyo. Ila mtandao pameandikwa jina la ep hiyo ni FOA na kifupisho hicho bado hajatoa kirefu chake na watu wengi kuanza kuongeza maneno mengi Kuhusu kirefu hicho.

Wengine wakiweka wazi kuwa ni code zilizo fichwa yaa Freemasonr of Africa

Ila binafsi nimetabiri kirefu cha EP hiyo itakuwa Father of All lakini pia inawekewa akaongeza kionjo cha Artist ikibidi itakuwa Father of All Artists
Je, kwa nini nimewaza hivi? Hii ni Sababu Msanii huyo hupenda kujiita Baba lao na ndio maana kaamua kuja na EP yake kwa jina hilo la Baba lao (Father of All) yaani FOA.
Hii nikwamujibu wa utabiri Wangu.
Ile
 
😂😂😂😂😂vipi mkuu ulishaenda ile safari yako ya kulimwagia jua maji?? Nimecheka sana ulivyoanza eti mimi sio great thinker!!

Ile
🤣🤣🤣 Mkuu kwa mzozo huu wa Ukraine na Russia Safari za anga za mbali unaweza kutana na nuclear bombs juu kwa kwa.

Ngoja tusubiri mzozo huu uishe
 
Back
Top Bottom