Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Diamond ana roga, hatambikiHahahaa watanzania mtachelewa sana kuendelea, ingekuwa swala ni kutumia uchawi na majini tu tungekuwa na millionaires wengi sana.
Nikwambie tu, leo hii mimi na wewe hata tukipewa uchawi na majini sawasawa bila kuzidiana kitu, bado tu kimafanikio lazima tutapishana.
MOND anakitu extra ndomaana anawazidi wengi.
Halafu hii zana ya kuona matambiko kama ni dhambi kwakua tunaabudu mzimu ni utumwa tu, haina tofauti na nyinyi mnaoabudu mzimu ya kizungu isiyowatambua.
Na copy kibao na wizi wa melodyArtists?????
Yaani huyu anajua kuchonga vintage, ufinyanzi, maigizo etc? How can he be a father of all artist wakati hata kwenye music anatumia uchawi na majini?
EP manaake nini?Hello wakuu Mimi si greater Thinker kama wadau wengine ila katika pita pita zangu mitandao nimekutana na habari kuwa Msanii wa kibongo Diamond Platinumz alitaka kudondosha EP yake siku za nyuma kidogo (ilikuwa kama Tarehe 4march).
Lakini alitoa taarifa ya kusogeza mbele uzinduzi wa EP hiyo. Ila mtandao pameandikwa jina la ep hiyo ni FOA na kifupisho hicho bado hajatoa kirefu chake na watu wengi kuanza kuongeza maneno mengi Kuhusu kirefu hicho.
Wengine wakiweka wazi kuwa ni code zilizo fichwa yaa Freemasonr of Africa
Ila binafsi nimetabiri kirefu cha EP hiyo itakuwa Father of All lakini pia inawekewa akaongeza kionjo cha Artist ikibidi itakuwa Father of All Artists
Je, kwa nini nimewaza hivi? Hii ni Sababu Msanii huyo hupenda kujiita Baba lao na ndio maana kaamua kuja na EP yake kwa jina hilo la Baba lao (Father of All) yaani FOA.
Hii nikwamujibu wa utabiri Wangu.
#FRIENDS OF ARSENALMoja Kati ya kitu ambacho msanii wa diamond anafanikiwa ni pamoja na namna anavyofanya promotion za kazi zake hilo neno la FOA limekuwa maarufu sana mitandaoni kama atajiongeza zaidi angejaribu kuuza tisheti za hizo code ya Hilo neno la EP yake angepata faida kubwa sana
Kazi kazi Kumbe ipo tayari#FRIENDS OF ARSENAL
View attachment 2141094
Kama unaroga ili mambo yaende vizuri bila kuwaathiri watu sio mbaya.Diamond ana roga, hatambiki
Ukiroga ni lazima uathiri watu. Ukiroga ili uwe namba moja ni lazima uchawi wako umwathiri aliyekuwa namba moja kabla weee hujarogaKama unaroga ili mambo yaende vizuri bila kuwaathiri watu sio mbaya.
Extended playlistEP manaake nini?
Kweli ngoja tusubiri muda ndio uongeeYani hiyo F, hiyo O pamoja na hiyo A ina mambo mengi kwanini watu wajidai kuitabiria wakati yeye muda ukifika anaweza kuulizwa na akatoa jibu sahihi? Labda wako exited sana sijui waangalie wasije kuanza hadi kumuambia atunge nyimbo na kuipa jina flani. Kwa mfano kwa hiyo F tu yapo mambo kibao Fear, Fake, Fool, Fan, Fat, Friend, Fire, na maneno mengine kibao,leo mtu anatokeza huku na kuweka utabiri wake paap! labda yuko huko HQ. All in all tusubiri muda muafaka ufike tutajua maana halisi na sababu ya kuiita hivyo
IleHello wakuu Mimi si greater Thinker kama wadau wengine ila katika pita pita zangu mitandao nimekutana na habari kuwa Msanii wa kibongo Diamond Platinumz alitaka kudondosha EP yake siku za nyuma kidogo (ilikuwa kama Tarehe 4march).
Lakini alitoa taarifa ya kusogeza mbele uzinduzi wa EP hiyo. Ila mtandao pameandikwa jina la ep hiyo ni FOA na kifupisho hicho bado hajatoa kirefu chake na watu wengi kuanza kuongeza maneno mengi Kuhusu kirefu hicho.
Wengine wakiweka wazi kuwa ni code zilizo fichwa yaa Freemasonr of Africa
Ila binafsi nimetabiri kirefu cha EP hiyo itakuwa Father of All lakini pia inawekewa akaongeza kionjo cha Artist ikibidi itakuwa Father of All Artists
Je, kwa nini nimewaza hivi? Hii ni Sababu Msanii huyo hupenda kujiita Baba lao na ndio maana kaamua kuja na EP yake kwa jina hilo la Baba lao (Father of All) yaani FOA.
Hii nikwamujibu wa utabiri Wangu.
π€£π€£π€£ Mkuu kwa mzozo huu wa Ukraine na Russia Safari za anga za mbali unaweza kutana na nuclear bombs juu kwa kwa.πππππvipi mkuu ulishaenda ile safari yako ya kulimwagia jua maji?? Nimecheka sana ulivyoanza eti mimi sio great thinker!!
Ile
Kutoka kwa aliyekuwa namba moja ni ishara ya kwamba hakustahili kuwa pale, namaanisha amekosa nguvu za kumfanya asishuke pale.Ukiroga ni lazima uathiri watu. Ukiroga ili uwe namba moja ni lazima uchawi wako umwathiri aliyekuwa namba moja kabla weee hujaroga