UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

UTABIRI: Kocha wa Simba Fadlu Davids hana maisha marefu ndani ya klabu, atafukuzwa ghafla kabla ya Pasaka

Acha ramli mkuu,mnyama anatafuna kimtindo huku akiwinda big prey!!.....lembelaga nkoi,dulekelage eSimba ise!
 
Babu mjanja sana kuna siku niona umevaa saa Og ya Audemars piguet royal oak nikaogopa🤔🤔🤔
Huenda uliona picha yangu ya Mwaka 47

Enzi hizo za kufukuzia mchumba, unakaa unamvizia akienda kuchota Maji kisimani ndiyo umwagie mistari hadi akuelewe 😜
 
Wakati mashabiki wa SSC wapo kwenye shangwe la ushindi, mimi Omoyogwane kuna kitu nakiona ambacho wengi hamkioni.

Kocha Fadlu mbinu zake ni zile zile hii mechi ya 11 makocha wa mikoani washaanza kumuelewa na kutafuta muarobaini wa mbinu zake

Kikawaida hupanga mabeki wanne nyuma ambao hutengeneza shape ya herufi "U" na huwa hawapandi mbele sana wao huweka makazi yao karibu na kipa, wanahusika katika kuanzisha mashambulizi na kuzuia wakati huo wachezaji wengine hujazana mbele kwenye lango la mpinzani.

Hii humfanya mpinzani apaki bus mwisho wa siku atajikuta anafanya makosa na kusababisha penati ndio maana magoli mengi ya Simba ni ya penati.

KOCHA FREDRICK MINZIRO AMSOMA FADLU

Mechi ya pamba jiji vs Simba ktk kipindi cha kwanza George mpole hakufurukuta sababu alijikuta yupo peke yake akikabwa na mabeki wanne


Ktk kipindi cha pili Kocha wa Pamba akaingiza washambuliaji watatu na wibga mmoja kazi yao ikiwa ni kukaa man to man na mabeki wa simba ili wasianzishe mashambulizi kutokea nyuma huku sehemu ya wachezaji wa pamba iliyobaki ikipaki bus na kusukuma mipira mirefu mbele kuwatafuta washambuliaji watatu wa pamba

Hii iliwavuruga mabeki wa simba wakaanza kufanya makosa hadi kapombe akapigwa kadi ya njano kwa kumvuta mpole makusudi aliyekuwa anaenda kufunga

Kipa Camara akawa analazimika kupiga mpira mbele
Moja kwa moja

Fadlu akaanza sub za hapa na pale lakini hazikuleta unafuu

Pamba wakawa wanashambulia kwa mashuti hatari kwa kutumia washambuliaji watatu kama sio ubora wa kipa Camara SSC wangepoteza.

Pia wachezaji wa Simba wameanza kufanya udanganyifu unakuta faulo kafanya mtu wa SSC cha ajabu yeye ndio analala chini na kujifanya kafanyiwa yeye( hii kiufundi ni udangwnyifu).


KWANINI FADLU HANA MAISHA MAREFU SSC

Sababu ni kwamba makocha wa mikoani washaanza kumsoma pia wanatumia mbinu za kuchezesha viungo na washambuliaji wengi kama alivyo asisi Gamond

Mpira upo kwenye mapibduzi


Nawasilisha.
Kama uliangalia mpira WA Jana basi elewa Fadlu bado yupo yupo Sana! Pamoja na kukamia Sana Pamba wamshukuru Sana Refa, kwani Ile faulo ya aliyofanyiwa Ateba ilitakiwa pamoja na penalty lakini pia na kadi nyekundu ilitakiwa itolewe. Kwa maana iyo wangekuwa 10 Pamba wangeoga mvua ya magori.
 
Nakuunga mkono 100% kwa asiyejua Mpira kiufundi atakubishia kwakuwa ni wale mashabiki oya oya wao wanachoangalia ni matokeo tu, but kiufundi tiyali nilishaliona ilo kwenye mechi 4 za Simba zilizopita, kocha Minziro alimsoma vizuri na kama sio goli la penalty walilopata Simba walikuwa wanadondosha point, kiufupi makocha wameanza kumjua vizuri mbinu zake ni zile zile abadiliki anapokutana na kocha mzuri anapata tabu kwelikweli kupata matokeo!
Mnajipa moyo mnashindwa kutambua Simba wamejitoa mhanga kufanya kile ambacho Yanga wamekiogopa. Kucheza mechi wakati una mechi kubwa ya kimataifa huwezi kujitoa kikamilifu kwa sababu ya kuogopa majeraha,Kipindi cha kwanza Simba walicheza kwa kushambulia vizuri, walipopata goli kipindi cha pili wakapumzisha wachezaji wao muhimu.Halafu unaizungumzia timu iliyoshinda na sio kufungwa au draw
 
Umechambua mbinu vizuri, huenda akafukuzwa ama asifukuzwe ila umechambua vizuri mno, watu wa mpira watakuelewa.
 
Wakati mashabiki wa SSC wapo kwenye shangwe la ushindi, mimi Omoyogwane kuna kitu nakiona ambacho wengi hamkioni.

Kocha Fadlu mbinu zake ni zile zile hii mechi ya 11 makocha wa mikoani washaanza kumuelewa na kutafuta muarobaini wa mbinu zake

Kikawaida hupanga mabeki wanne nyuma ambao hutengeneza shape ya herufi "U" na huwa hawapandi mbele sana wao huweka makazi yao karibu na kipa, wanahusika katika kuanzisha mashambulizi na kuzuia wakati huo wachezaji wengine hujazana mbele kwenye lango la mpinzani.

Hii humfanya mpinzani apaki bus mwisho wa siku atajikuta anafanya makosa na kusababisha penati ndio maana magoli mengi ya Simba ni ya penati.

KOCHA FREDRICK MINZIRO AMSOMA FADLU

Mechi ya pamba jiji vs Simba ktk kipindi cha kwanza George mpole hakufurukuta sababu alijikuta yupo peke yake akikabwa na mabeki wanne


Ktk kipindi cha pili Kocha wa Pamba akaingiza washambuliaji watatu na wibga mmoja kazi yao ikiwa ni kukaa man to man na mabeki wa simba ili wasianzishe mashambulizi kutokea nyuma huku sehemu ya wachezaji wa pamba iliyobaki ikipaki bus na kusukuma mipira mirefu mbele kuwatafuta washambuliaji watatu wa pamba

Hii iliwavuruga mabeki wa simba wakaanza kufanya makosa hadi kapombe akapigwa kadi ya njano kwa kumvuta mpole makusudi aliyekuwa anaenda kufunga

Kipa Camara akawa analazimika kupiga mpira mbele
Moja kwa moja

Fadlu akaanza sub za hapa na pale lakini hazikuleta unafuu

Pamba wakawa wanashambulia kwa mashuti hatari kwa kutumia washambuliaji watatu kama sio ubora wa kipa Camara SSC wangepoteza.

Pia wachezaji wa Simba wameanza kufanya udanganyifu unakuta faulo kafanya mtu wa SSC cha ajabu yeye ndio analala chini na kujifanya kafanyiwa yeye( hii kiufundi ni udangwnyifu).


KWANINI FADLU HANA MAISHA MAREFU SSC

Sababu ni kwamba makocha wa mikoani washaanza kumsoma pia wanatumia mbinu za kuchezesha viungo na washambuliaji wengi kama alivyo asisi Gamond

Mpira upo kwenye mapibduzi


Nawasilisha.
Mmehamisha goli?! Si mlisema hafiki Krismass..ameondoka Gamond kabla ya Krissmass na ungekuwa na Akili zinazochemka ungeandika Saed wa Utopolo hafiki Pasaka.
 
Huko yanga yasemekana engineer alimlazimisha mzize kubadili dini, KUNA UKWELI?
Kwa asili Mzize ni Muislamu. Hapa mtaani alipokuwa anapaki boda boda yake anajulikana kwa jina la thabiti

Sidhani kama Iringa kuna ukoo wa kina Mzize. Kwa ivo Hersi asitwishwe zigo lisilo lake.

Ila Yanga wanajua hilo jina la Clement Mzize wamelitoa wapi.
 
Mnajipa moyo mnashindwa kutambua Simba wamejitoa mhanga kufanya kile ambacho Yanga wamekiogopa. Kucheza mechi wakati una mechi kubwa ya kimataifa
Hiyo mechi ilikuwa na faida kubwa sana kwa Simba.

Kwanza, ilikuwa ni kurudisha spirit ya ushindani kwa wachezaji baada ya kalikizo kafupi.

Pili ni kuongeza pressure kwa utopolo. Pamoja na kwamba wana game moja mkononi, ushindi dhidi ya Pamba umeiongezea pressure zaidi utopolo. Wakifanya mchezo watazidi kudondosha point. Hii ni changamoto ambayo Simba ilikuwa inakumbana nayo misimu hii miwili ya nyuma, kujaribu kumfukuzia utopolo. Lengo sasa ni kutoshuka kutoka kileleni.
 
Nilishawahi kutabiri ninyi mtakua wageni hapa jukwaani


Lakini utabiri wa Gamondi ukakushinda au miwani haikuona?Au utabiri wako ni special kwa Simba tu.Isije ikawa wewe ni wale watabiri uchwara wakujaribu kuona kilichopo kilomita 100 wakati sebuleni kuna kinyesi hawasikii harufu wala kukiona.
 
Back
Top Bottom