Utabiri: Kwa mara ya kwanza 2016, Miss World atatokea Tanzania

Utabiri: Kwa mara ya kwanza 2016, Miss World atatokea Tanzania

Kweli Ni mzuri. Anafaa kuolewa akae ndani asafishe nyumba.
 
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania Diana Olaibon Luqumay ndiye miss world anayefuata na kwa uzoefu wangu nafahamu kabisa miss world siyo chura.

Kwa wiki kadhaa jina la Diana limekuwa vinywani nwa maelfu kwa maelfu ya wakazi wa viunga vya Washington,bkutokea Common blv mpaka mitaa ilipo ikulu ya white house.

Ikitokea Mrembo huyu akashindwa naomba kwa moyo mmoja nipigwe ban mpaka hapo ndege mpya ya Boeing 787 itapotua nchini mwaka 2018.

Jamani naomba tuendelee kupiga kura kama kawaida yetu
Hata mimi nimeona kuwa this time kuna uwezekano mkubwa akafika kwenye top 3 kwani ameenda kwenye mashindano akiwa na strategy nzuri maana hata wenzake wameanza kucheza singeli huko na wengine wengi wameanza kuiga uchezaji huo. Hata akishindwa basi atakuwa ameupa chati sana muziki huo ingawa mimi binafsi siupendi.
 
Ban hutapigwa, pia nakupongeza kwa uzalendo wako wa kuwatia moyo watanzania na kuwahamasisha kupiga kura kwani hatuna kawaida ya kujali vya kwetu bali tu washangiliaji ashindapo mtz
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania Diana Olaibon Luqumay ndiye miss world anayefuata na kwa uzoefu wangu nafahamu kabisa miss world siyo chura.

Kwa wiki kadhaa jina la Diana limekuwa vinywani nwa maelfu kwa maelfu ya wakazi wa viunga vya Washington,bkutokea Common blv mpaka mitaa ilipo ikulu ya white house.

Ikitokea Mrembo huyu akashindwa naomba kwa moyo mmoja nipigwe ban mpaka hapo ndege mpya ya Boeing 787 itapotua nchini mwaka 2018.

Jamani naomba tuendelee kupiga kura kama kawaida yetu
 
Haahahhaha watanzania wanacomment Tanzania hadi kwenye picha za ma miss wengine
 
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania Diana Olaibon Luqumay ndiye miss world anayefuata na kwa uzoefu wangu nafahamu kabisa miss world siyo chura.

Kwa wiki kadhaa jina la Diana limekuwa vinywani nwa maelfu kwa maelfu ya wakazi wa viunga vya Washington,bkutokea Common blv mpaka mitaa ilipo ikulu ya white house.

Ikitokea Mrembo huyu akashindwa naomba kwa moyo mmoja nipigwe ban mpaka hapo ndege mpya ya Boeing 787 itapotua nchini mwaka 2018.

Jamani naomba tuendelee kupiga kura kama kawaida yetu
Utabiri huu hauna tofati na unano Mtesa Lema! hivyo tutaomba vyombo huska vichukue hatua stahiki
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Aende kwanza kwa Tb Joshua KM yule anae ishi kwa maono ya Mtu
 
She is cute and smart, documentary yake ya female genital multilation and early maariage in Masai tribes and other developing countries itamuweka pazuri hata asiposhinda. Atapata deals nyingi tu za uambassador duniani. Tuendelee kupiga kura na kumuombea

Multilation =Mutilation

Maariage= Marriage

Nyota yake inang'ara kweli kweli....
 
Kwani kutolewa antenna kuna shida gani ?? Kwani kwenye punye kitu cha muhimu ni Yale maji kwa mbali na kambano.... Au we unafikilia tunatakaga nini humo
Demu bila kaantena mimi siwezi piga hata siku moja
 
  • Thanks
Reactions: lup
Haahahhaha watanzania wanacomment Tanzania hadi kwenye picha za ma miss wengine
Yan hata mi nimeshaangaa,watanzania wana hamua na taji hadi wan a hanganyikiwa
Ila kiukweli wamenikera walivyomuingiza Kenya na India kwenye top 5 beauty for a purpose afu Tanzania hatupo wakati Kenya hata top 24 hakuwepo
 
Yan hata mi nimeshaangaa,watanzania wana hamua na taji hadi wan a hanganyikiwa
Ila kiukweli wamenikera walivyomuingiza Kenya na India kwenye top 5 beauty for a purpose afu Tanzania hatupo wakati Kenya hata top 24 hakuwepo
Heheheh watajua wao
 
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania Diana Olaibon Luqumay ndiye miss world anayefuata na kwa uzoefu wangu nafahamu kabisa miss world siyo chura.

Kwa wiki kadhaa jina la Diana limekuwa vinywani nwa maelfu kwa maelfu ya wakazi wa viunga vya Washington,bkutokea Common blv mpaka mitaa ilipo ikulu ya white house.

Ikitokea Mrembo huyu akashindwa naomba kwa moyo mmoja nipigwe ban mpaka hapo ndege mpya ya Boeing 787 itapotua nchini mwaka 2018.

Jamani naomba tuendelee kupiga kura kama kawaida yetu
Haya mkuje mtwambie,kwanini miss Wetu hajashinda,au hakukazana?
 
Baaada ya kupitia kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kupitia maandiko kadhaa ya wanazuoni tofauti tofauti wa masuala ya urembo, nimejiridhisha kabisa (beyond reasonable doubt) kuwa miss Tanzania Diana Olaibon Luqumay ndiye miss world anayefuata na kwa uzoefu wangu nafahamu kabisa miss world siyo chura.

Kwa wiki kadhaa jina la Diana limekuwa vinywani nwa maelfu kwa maelfu ya wakazi wa viunga vya Washington,bkutokea Common blv mpaka mitaa ilipo ikulu ya white house.

Ikitokea Mrembo huyu akashindwa naomba kwa moyo mmoja nipigwe ban mpaka hapo ndege mpya ya Boeing 787 itapotua nchini mwaka 2018.

Jamani naomba tuendelee kupiga kura kama kawaida yetu

Miss Puerto Rico atwaa taji la Miss World 2016

Na ban hatukupigi, utajipiga mwenyewe.
 
Back
Top Bottom