Niliuliza kuhusu IHEFUNdiyo ihefu ni mbabe wa yanga aliyeifunga yanga Mara moja
Lakini yanga mbabe wa Simba aliyeifunga Simba zaidi ya Mara moja
Tukutane tar 19/4 kipigo maridhawa kipo pale pale bila yakupepesa macho tatu mzuka zinawafaa.
Kwani Hilo jibu halifai mkuu.Niliuliza kuhusu IHEFU
Utopolo unateseka wakati unaongoza?!Uchawi kitu kibaya sanaNaam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.
NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.
Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu na kukosa haki kwa timu ya Ihefu FC.
Matokeo yatakua tofauti na vile Ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Hapana sijasema hivyoKwani Hilo jibu halifai mkuu.
Weka mzigo utapiga hela ndefu sana. Kwenye betting ukiweka red card unapata odds hadi 7.00... natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.
Utopolo mna kazi sanaNaam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.
NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.
Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu na kukosa haki kwa timu ya Ihefu FC.
Matokeo yatakua tofauti na vile Ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Kinyesi unaumia nini lkn?kufungwa afungwe ihefu uumie wewe utopolo,goli lwa kwanza kipa kaokolea ndani,goli la pili kibu na mahundi walikuwa wanagombania mpira wote,tena kwa kitumia nguvu(50/50),matokeo ya battle hiyo kibu ndo alishinda sasa faulo ilikuwa wapi pale.Unajiumiza bure na mambo yasiyokuhusu.Mechi ile ya juzi, goli la kwanza ni la utata mtupu mara mpira umevuka mstari, kipa nae akatoa sadaka kwa Baleke.
Goli la pili, mtu anachezewa faulo wazi wazi lakini refa anaacha tu watu waende wakafunge. Goli la tatu nalo limetolewa pochi. Yaani ilikuwa ni mwendo wa kubadilishana tu pochi kati ya refa, kipa na wachezaji.
Save my comment aisee.Utopolo unateseka wakati unaongoza?!Uchawi kitu kibaya sana
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hutaki tuzungumze ukweli.Utopolo mna kazi sana
Tufanye ilikua 2 kwa moja. Hizo tatu tuondoe.Mechi ile ya juzi, goli la kwanza ni la utata mtupu mara mpira umevuka mstari, kipa nae akatoa sadaka kwa Baleke.
Goli la pili, mtu anachezewa faulo wazi wazi lakini refa anaacha tu watu waende wakafunge. Goli la tatu nalo limetolewa pochi. Yaani ilikuwa ni mwendo wa kubadilishana tu pochi kati ya refa, kipa na wachezaji.
Yaani kama mgeni anawasikiliza utopolo anaeza fikiri simba haijawahi mfunga utopolo hata mara moja. Yaani hutaki kuamini kama ihefu ni timu mbovu na ilimfunga yanga baada ya ihefu kugoma kupokea bahasha?Ndiyo ihefu ni mbabe wa yanga aliyeifunga yanga Mara moja
Lakini yanga mbabe wa Simba aliyeifunga Simba zaidi ya Mara moja
Tukutane tar 19/4 kipigo maridhawa kipo pale pale bila yakupepesa macho tatu mzuka zinawafaa.
Kwa hiyo ihefu wamekubali kupokea rushwa kwenu si ndiyoYaani kama mgeni anawasikiliza utopolo anaeza fikiri simba haijawahi mfunga utopolo hata mara moja. Yaani hutaki kuamini kama ihefu ni timu mbovu na ilimfunga yanga baada ya ihefu kugoma kupokea bahasha?
Rudi kwenye uzi wako tena. Unauliza wakati wewe ndio umeleta huu uzi kwamba kuna figisu? Chomoa mwiko huo akili ikukae sawaKwa hiyo ihefu wamekubali kupokea rushwa kwenu si ndiyo
Kama ilivyotokea Yanga vs GeitaNaam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.
NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho...